Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Duh!..Saa hizi Hawa anafikiriaje how?
Kuwa amkubali kwa sababu tajiri tu? Life is like that
Tunao wakataa na kuwaacha wanaweza kufanikiwa na kupata vyeo vikubwa, ni maisha na hakuna regret
Ukisema Hawa anajuta saa hizi maana yake hakuwa binadamu
In other words unataka kusema kila demu anayetokewa leo na diamond, mo, bakhresa lazima wakubali maana hawa jamaa wana visu? Ukiishawaza hivyo tu, tunataka kumjua mama yako