Duh!..Saa hizi Hawa anafikiriaje how?
Kuwa amkubali kwa sababu tajiri tu? Life is like that
Tunao wakataa na kuwaacha wanaweza kufanikiwa na kupata vyeo vikubwa, ni maisha na hakuna regret
Ukisema Hawa anajuta saa hizi maana yake hakuwa binadamu
In other words unataka kusema kila demu anayetokewa leo na diamond, mo, bakhresa lazima wakubali maana hawa jamaa wana visu? Ukiishawaza hivyo tu, tunataka kumjua mama yako
DuuhhMpfyuuuuuuuuuuuuuuuh
Uchi kila mtu anao tatizo matumizi
Nilivyofikia huo mstari ikabidi nirudi juu nione uzi ni wa lini, mleta uzi yupo tanzania yake tofauti na hii yetu.Hawa ajulikani alipo na anafanya Nini..!!!! [emoji849] Corona hii mmhh
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata sura ilikuwa mbaya hata ungekuwa wewe usingekubaliElewa somo kwanza, umeambiwa kipindi hicho cha nitarejea bado hajapata pesa na fame.
Samahani, huwezi jua kila kitu. Sasa kupitia jukwaa hili nimefahamu alipo HawaNilivyofikia huo mstari ikabidi nirudi juu nione uzi ni wa lini, mleta uzi yupo tanzania yake tofauti na hii yetu.