Tetesi: Inadaiwa huyu ndio Herry aliyemtishia Bastola Nape Nnauye, akiwa na Simon Sirro

Tetesi: Inadaiwa huyu ndio Herry aliyemtishia Bastola Nape Nnauye, akiwa na Simon Sirro

Status
Not open for further replies.
Joined
Oct 5, 2017
Posts
7
Reaction score
79
Angalia hii picha ukiwa wewe na RC Makonda, Herry ni huyo hapo nyuma yenu.
huyu ndiye anadaiwa alimtolea Nape Nnauye bastola kule Oysterbay. Anaitwa Herry Kisanduku aka Kassimu Sniper.
DLXoYCxWsAAeZBu.jpg

DLXnj9GW4AARBnM.jpg


DLXnkySW0AAdRrP.jpg


Nape alivyoonja joto ya jiwe leo kwa kutolewa bastola na kusukumizwa kwenye gari

Polisi: Yeyote mwenye taarifa za uhakika za aliyemlenga Nape kwa bastola atujulishe
 
Siyo kwamba hawajui kuongopa.Hapa issue ni amri kutoka mbinguni. Ila imependeza kujulikana kuwa ni mmoja wapo wa wale makirikiri wanaomlinda mwana wa mungu aliyeko hai katika ulimwengu wa makinikia na vipande viwili vya bherngae. Asante kwa utafiti na ugunduzi wenu. I believe kwa mwendo huu itajulikana hata alipo au yalipo mabaki ya kijana benny
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom