Tetesi: Inadaiwa huyu ndio Herry aliyemtishia Bastola Nape Nnauye, akiwa na Simon Sirro

Tetesi: Inadaiwa huyu ndio Herry aliyemtishia Bastola Nape Nnauye, akiwa na Simon Sirro

Status
Not open for further replies.
Angalia hii picha ukiwa wewe na RC Makonda, Herry ni huyo hapo nyuma yenu.
huyu ndiye anadaiwa alimtolea Nape Nnauye bastola kule Oysterbay. Anaitwa Herry Kisanduku aka Kassimu Sniper.
DLXoYCxWsAAeZBu.jpg

DLXnj9GW4AARBnM.jpg


DLXnkySW0AAdRrP.jpg



Huyo anaj ulikana fika tu kama Kum mark sura nape,kitenge na wengineo hapo washa mmark
Police wasitake kuhamisha magoli

Ova
 
Iko siku Mkuu atawaomba radhi watanzania, ugomvi utakaotokea kati yake na RC sio wa nchi hii.
Cha mwisho, mleta thread chukua tahadhari za kila aina, anga, nchi kavu, majini usiku na mchana.

mie na save hizi picha haraka kabla uzi haujafutwa.
 
Mi napenda sirro afafanue kuwa tumfikishe huyu jamaa akiwa katika hali gani? Maana jamaa huko anawindwa kama swala
 
Namwamini mleta mada, na amekuja kwa sababu tu.

kwanza ni mwanachama Mpya kabisa kajiunga leo, hana pa kusemea amekuja kutupa ukweli, Sirro ,makonda na wenzenu, Siri ni ya Mtu mmoja, Mkiwa wengi hakuna siri, mtaumbuka siku sio nyingi
 
Namwamini mleta mada, na amekuja kwa sababu tu.

kwanza ni mwanachama Mpya kabisa kajiunga leo, hana pa kusemea amekuja kutupa ukweli, Sirro ,makonda na wenzenu, Siri ni ya Mtu mmoja, Mkiwa wengi hakuna siri, mtaumbuka siku sio nyingi
Hapo ndo nimemkubali yaani kaja kuchoma yote then kasepa huyu ni sawa na Mruma apewe tuzo tafadhali
 
Haya sirro mambo hayo hadharani kuna kingine unahitaji?
 
Sirro hao hapo unaowatafuta huku ukijua unawajua. Heri yule aliyeweka mambo hadharani tumechoshwa na unyama huu. Mwenye nyumba huyu bashite wee mkumbatie kama mdoli siku ya hukumu inakuja tena yaja upesi. Mmewatesa watu nchi imezimia kwa ujinga na dhuluma ya mtu fulani! Sirro jitete na hili
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom