Tetesi: Inadaiwa huyu ndio Herry aliyemtishia Bastola Nape Nnauye, akiwa na Simon Sirro

Status
Not open for further replies.
Joined
Oct 5, 2017
Posts
7
Reaction score
79
Siyo kwamba hawajui kuongopa.Hapa issue ni amri kutoka mbinguni. Ila imependeza kujulikana kuwa ni mmoja wapo wa wale makirikiri wanaomlinda mwana wa mungu aliyeko hai katika ulimwengu wa makinikia na vipande viwili vya bherngae. Asante kwa utafiti na ugunduzi wenu. I believe kwa mwendo huu itajulikana hata alipo au yalipo mabaki ya kijana benny
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…