Tetesi: Inadaiwa huyu ndio Herry aliyemtishia Bastola Nape Nnauye, akiwa na Simon Sirro

Tetesi: Inadaiwa huyu ndio Herry aliyemtishia Bastola Nape Nnauye, akiwa na Simon Sirro

Status
Not open for further replies.
Mm watanzania wa Leo siwawezi kabisa!!! Namna hiiii kweli 2020 tutafika tukiwa salama kwa rehema za Mungu tu
 
Kuna ushahidi mwingine zaidi ya hizi picha? Mbona wa kwenye video hafanani kabisa na wa kwenye picha?

Yule aliye mtishia Nape na bastola nahisi atakuwa ni mhuni tu aliye jizukia huko mtaani, na ile ilikuwa ni toy la kuchezea watoto na siyo bastola.......

Kama kanda Sirro aliweza kulala nao mbele wale wahuni wa Kibiti sembuse itakuwa hao wa tukio la Lissu au Nape? Jeshi la polisi linafanya uchunguzi wake kimya kimya hapa tunazungwa ili hao wahalifu wadakwe kimya kimya
Dogo una shida ya macho? nenda kwa daktari next time utamkana mpaka mke wako kwamba hujawahi kumuona.
 
Angalia hii picha ukiwa wewe na RC Makonda, Herry ni huyo hapo nyuma yenu.
huyu ndiye anadaiwa alimtolea Nape Nnauye bastola kule Oysterbay. Anaitwa Herry Kisanduku aka Kassimu Sniper.
DLXoYCxWsAAeZBu.jpg

DLXnj9GW4AARBnM.jpg


DLXnkySW0AAdRrP.jpg



Nape alivyoonja joto ya jiwe leo kwa kutolewa bastola na kusukumizwa kwenye gari

Polisi: Yeyote mwenye taarifa za uhakika za aliyemlenga Nape kwa bastola atujulishe


du lakini huyu alomsukuma kwa mkono mmoja tu //hatari kuliko kisanduku anae pioga ma push up
 
Jibu lao ni Mange mkuu! Mange akisema basi. hakuna kuuliza tena.
Hata hili nalo unalitetea? Kweli watu wengine akili zenu ziko mku&$ni. Hili jambo ni baya na halina chama, ni matukio mabaya ya kuhusu maisha ya watu kwa nini ushabikie? Au ndio sera zenu nyambafu nyie?
 
Duuuh jamaa hawajui hata kudanganya
Bora wakubali tu ni polisi.
Ila kukataa kuwa si polisi ni kucheza na akili zetu.sisi watu wazima na akili zetu.kwanini watudanganye?
MTU anatoa bastola kwa kujiamini kabisa.mpaka mwenzie ana mzuia ana mwambia mbona hauna busara.
 
KAMANDA sirro alichokuwa anakiomba kakipata sasa kazi kwake akishindwa kuchukua hatua ndani ya saa 24 naye ni mshiriki wa matukio haya
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom