britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Huko Japan, kuna jamaa anaitwa Sun Myung Moon huyu mtu ndiye mwanzilishi wa Kanisa liitwalo Unification Church, al-maarufu kama Moonies church.
Huyu jamaa na kanisa lake ndiye chanzo cha mauaji ya Waziri Mkuu mstaafu wa Japan, Shinzo Abe.
Kwa mujibu wa Tetsuya Yamagani, ambaye ndiye aliyemuaa Shinzo Abe ni kwamna anamtuhumu Waziri Mkuu huyu kwa kuliunga mkono kanisa hilo katika kufanya shughuli zake nchini humo amnapo ilipelekea mwanzilishi kumfikia mama yake ili kulisaidia kanisa hilo.
Mama wa Tetsuya alianza kutumia pesa za familia kupeleka kama michango kulisaidia kanisa hilo huku wao wakikutana na changamoto kadhaa za kufedha kwa hatua hiyo ya mama yao.
Ndipo Tetsuya aliamua kumuwinda Shinzo Abe na kutimiza azma yake hiyo.
Kuna cha kujifunza hapa, kama hutaki acha
Credit Musembi
Britanicca
Huyu jamaa na kanisa lake ndiye chanzo cha mauaji ya Waziri Mkuu mstaafu wa Japan, Shinzo Abe.
Kwa mujibu wa Tetsuya Yamagani, ambaye ndiye aliyemuaa Shinzo Abe ni kwamna anamtuhumu Waziri Mkuu huyu kwa kuliunga mkono kanisa hilo katika kufanya shughuli zake nchini humo amnapo ilipelekea mwanzilishi kumfikia mama yake ili kulisaidia kanisa hilo.
Mama wa Tetsuya alianza kutumia pesa za familia kupeleka kama michango kulisaidia kanisa hilo huku wao wakikutana na changamoto kadhaa za kufedha kwa hatua hiyo ya mama yao.
Ndipo Tetsuya aliamua kumuwinda Shinzo Abe na kutimiza azma yake hiyo.
Kuna cha kujifunza hapa, kama hutaki acha
Credit Musembi
Britanicca