Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,605
- 1,957
Wadau.
Hi ni tetesi inazunguka sana mtaani.
Eti Kigogo wa Simba Manara alionekana CCM Kirumba Mwanza Wakati Yanga ikichezea kichapo cha bao 2 kutoka kwa waarabu.
Watu wanajiuliza.
1. Simba ilikuwa Arusha yeye alikwenda Mwanza Kufanya nini?
2.Je kipigo cha Yanga kinauhusiano na uwepo wake Mwanza?
3. Je klabu ya Simba inazo taarifa kuwa alikuwapo Mwanza?
4. Je pamoja na Yanga kuwakimbia Simba Dar bado tu hawakuridhika hadi waamue kuwafuata Mwanza?
5. Je Kigogo huyu ana Uzalendo kwa Nchi yake?
Karibuni tujadili tetesi
Hi ni tetesi inazunguka sana mtaani.
Eti Kigogo wa Simba Manara alionekana CCM Kirumba Mwanza Wakati Yanga ikichezea kichapo cha bao 2 kutoka kwa waarabu.
Watu wanajiuliza.
1. Simba ilikuwa Arusha yeye alikwenda Mwanza Kufanya nini?
2.Je kipigo cha Yanga kinauhusiano na uwepo wake Mwanza?
3. Je klabu ya Simba inazo taarifa kuwa alikuwapo Mwanza?
4. Je pamoja na Yanga kuwakimbia Simba Dar bado tu hawakuridhika hadi waamue kuwafuata Mwanza?
5. Je Kigogo huyu ana Uzalendo kwa Nchi yake?
Karibuni tujadili tetesi