Inadaiwa Maganga wa CWT aandaliwa kashfa ya ngono, chongolo ‘style’ kutumika

Kumbe imethibitika kuwa ni kweli kwamba Chongolo kachafuliwa na Makonda makalio makubwa??

Ndiyo maana kafubaa kisiasa tangu Chongolo alipojiuzulu!!!???
 
HAo hata wakiuana Sitosikitika coz sioni tija yao!!
 
Bahati mbaya jamaa hawezi kupata utetezi toka kwa anaowaongoza (Walimu) tayari hicho chama ni adui kwa wanachama! Kwao hicho chama ni wanyonyaji wasio na manufaa.
 
Bullying!
Black Propaganda!
Characters Assassination and Smear Campaign Propaganda!

Hizi mbinu za Vita ambazo huwa zinatumika sana kwenye Maofisi, hasa Ofisi za Serikali katika Kupigana Vita vya Kugombea Madaraka na Vyeo.
 
Vita sio ya Cheo ni suala zima la maokoto Mzee wangu, kile Cheo ukiondoa marupurupu Mshahara wake sio haba
Sio kweli, unataka useme huyo Maganga mpaka sasa hana investments huko nje? People like power maana inakufikisha mbali kuliko pesa. Hii dhana kuwa uongozi ni pesa sio kweli kina Gwajima au Tarimba wasingetumia mabilion kugombea ubunge!! Pesa wanazo ila wanataka madaraka, kunyenyekewa, kutukuzwa hiyo inawapa raha kuliko fedha.
 
Hivi Maganga tabu yote ya nini hii unatujazia seva asee. Wenyewe hawakutaki si utoke tu

Katika nchi za kiafrika hizi hakuna mtu amewahi shindana na serekali akashinda. Use your brain mwalimu. Unapigana vita usivyoweza kuvishinda.
Hiki cheo cha Maganga hakipoi.

Mwenye kuvumilia anaweza akawaletea neema walimu, vinginevyo walimu watahangaika hadi Yesu arudi.
 
Andika ukiwa umetulia Mzee wangu kwa hio anafanya kazi bure? Unataka kutuaminisha Gwajima na Tarimba wanafanya kazi bure? Ule ni uwekezaji km uwekezaji mwengine ingiza 10 toa 100, ushaelewa au bado nisubiri umalizie hio bapa yako kwanza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…