Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Haijafahamika sababu hasa za Jeshi la Polisi kufanya jitihada kabambe za kuingilia mila za wamasai ili kuzuia Ole Shangay kusimikwa na kupewa Ulaigwanan (mwenye kujua atufahamishe)
Hata hivyo zoezi hilo limefanyika baada ya nguvu ya umma kushinda
Hata hivyo zoezi hilo limefanyika baada ya nguvu ya umma kushinda