Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Inadaiwa wakubwa wamefura kwa hasira kuhusu kichwa cha habari kolezo kuhusu tukio la maandamo kule Simiyu.
Inasemekana Mhariri wa jarida hilo anapigiwa simu nyingi kuhojiwa kuhusu hilo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pembe la ng'ombe halifichikiView attachment 3075923
Inadaiwa wakubwa wamefura kwa hasira kuhusu kichwa cha habari kolezo kuhusu tukio la maandamo kule Simiyu.
Inasemekana Mhariri wa jarida hilo anapigiwa simu nyingi kuhojiwa kuhusu hilo.
stupid you CCMView attachment 3075923
Inadaiwa wakubwa wamefura kwa hasira kuhusu kichwa cha habari kolezo kuhusu tukio la maandamo kule Simiyu.
Inasemekana Mhariri wa jarida hilo anapigiwa simu nyingi kuhojiwa kuhusu hilo.
Taarifa za simiyu kila mtu anaO. Hilo gazete wala halina impact.....Asante teknolojiaView attachment 3075923
Inadaiwa wakubwa wamefura kwa hasira kuhusu kichwa cha habari kolezo kuhusu tukio la maandamo kule Simiyu.
Inasemekana Mhariri wa jarida hilo anapigiwa simu nyingi kuhojiwa kuhusu hilo.
Imebidi nikam google fabrizoUzuri hata hayo magazeti hayana tija sana. Siku hizi updates zipo za moto hazihitaji microwave kuzipasha. Hata wasipoandika hao wafanyabiashara wauza makaratasi habari zipo mkononi za motomoto na ushahidi wakutosha.
Zamani nakumbuka nilikuwa nafuatilia sana magazeti mwanaspoti hasa msimu kama huu wa usajili Ulaya nakuja kujua jumamosi kuna mchezaji alisajiliwa jumanne siku 5 zimepita. Sasa hivi Fabrizio Romano akipost tu ndani ya sekunde 1 tu najua kilichotokea Ulaya.
Watu waache zama za kutaka kuficha ficha mambo. Hakuna siri tena.
Na gazeti limepuga mawe😆😆Nilijua tu kuna ujinga, unapiga mawe magari ya watu kisa nini?!
Duh...!.View attachment 3075923
Inadaiwa wakubwa wamefura kwa hasira kuhusu kichwa cha habari kolezo kuhusu tukio la maandamo kule Simiyu.
Inasemekana Mhariri wa jarida hilo anapigiwa simu nyingi kuhojiwa kuhusu hilo.
Hahahaa mambo ya LucasAlitaka waandike Mama ametububujisha machozi kwa risasi Lucas Mwashambwa
Ndio wanapenda kuyaonaaHahahaa mambo ya Lucas
Tukio namba mbili linaloihatarisha 2025View attachment 3075923
Inadaiwa wakubwa wamefura kwa hasira kuhusu kichwa cha habari kolezo kuhusu tukio la maandamo kule Simiyu.
Inasemekana Mhariri wa jarida hilo anapigiwa simu nyingi kuhojiwa kuhusu hilo.
Sema wewe Asante CCM ndiyo hujafurahishwaView attachment 3075923
Inadaiwa wakubwa wamefura kwa hasira kuhusu kichwa cha habari kolezo kuhusu tukio la maandamo kule Simiyu.
Inasemekana Mhariri wa jarida hilo anapigiwa simu nyingi kuhojiwa kuhusu hilo.