Tetesi: Inadaiwa wakubwa hawajafurahishwa na toleo la jarida hilo hasa kuhusu tukio la Simiyu lilivyo kolezwa

Dalili ya mvua ni mawingu, maandamano na kinachoendelea Ngorongoro huko Simiyu ni trela tu! Picha yenyewe inakuja.

Hao wanaojiita wakubwa kitakachotokea watajuta na hawata amini.
 
Ila huyu mama ana kiburi Sana. Eti wanaopotea ni drama tu.
 
Waziri wa mambo ya ndani na mkuu wa polisi ni wakati wa kufikiri mnatosha nyadhifa zenu kwa haya yanayoendelea kuanzia ya Awadh mpaka Simiyu achilia kupotea kwa watu.
Has Tz turned into a lawless state of terror an torture?
 
Wahusika wawajibike haraka kupisha wenye uwezo wa kusimamia haki ya wananchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…