Tetesi: Inadaiwa yupo safe house

We unapajua huko amerika unapopataja na kubisha usivyovijua?!
Kwa ni amerika ndo ni ni ushamba wako wa kutetemekea amerika sio kama mtu anao, vitu vyote vinavyofanyika vipo hewani uzembe wako wa kuresearch unaokufanya unalishwa matango pori sio kama mtu anao. Sio ajabu na utu uzima wako mpaka leo unaamini amerika walienda mwezini, mijitu ya design yako ndo mko hivyo.
 
Basi bwana 'contractor', siwezi kuhangaika nawe kwa sababu siwezi leo hii kukurudisha nyuma nikakufunze tena uliyoachana nayo ukiwa sekondari.
Ni wazi ulivyoandika hapo juu, huna msingi kabisa na maswala hayo.
 
Naelewa ndio maana nakupinga, ni kweli teknolojia imekuwa sana ila kufuta kumbukumbu fulani uache nyingine hiyo inawezekana kwenye movie tu, hata hiyo amerika waliopiga hatua kiteknolojia hawawezi kufanya hiyo jambo upo?
Acha uchizi wewe! We amerika unapajua?! πŸ˜ƒ

Hebu kula unywe maji ya chumvi ulale πŸ˜‚πŸ‘πŸΎ
 
Im not 20s, in fact 20s ndo wahanga wa hizo movies za kiamerika nashangaa mzee imekuwaje nawe ukanaswa kwenye huo mkumbo
 
Basi bwana 'contractor', siwezi kuhangaika nawe kwa sababu siwezi leo hii kukurudisha nyuma nikakufunze tena uliyoachana nayo ukiwa sekondari.
Ni wazi ulivyoandika hapo juu, huna msingi kabisa na maswala hayo.
Nina msingi nayo ila baada ya kuchimbua nikagundua ni mbwembwe tu ili tuwaone superpower kwa kila kitu ila nyuma ya pazia wanatulisha matango pori,
do your research
 
Nina msingi nayo ila baada ya kuchimbua nikagundua ni mbwembwe tu ili tuwaone superpower kwa kila kitu ila nyuma ya pazia wanatulisha matango pori,
do your research
Hata sielewi unazungumzia jambo gani hapa tena.

Huna 'background' yoyote juu ya jambo husika, ila unakaza shingo tu! Hii ni baada ya kuona maandishi yako yalivyo mbali kabisa na ufahamu wa eneo hilo.

Huo u'smart' unaojitambulisha nao katika jina lako unaweza kuwa feki, au ni katika mambo tofauti kabisa na kinachoongelewa hapa.

Haya, unataka nifanye 'research' ya jambo gani tena?
 
Achana na huyo Kijana! Anapinga mpaka asivyovijua akiamini havipo na haviwezekani 😊

Aingie siku kwenye"18" za wazee wa kazi akaoneswe kama vipo au havipo πŸ˜ƒβ˜»β˜»β˜»β˜»β˜»... atakuwa na adabu, utii na uzalendo daima! Dadadadeki! Nawatamani sana wapuuzi wa namna hii Smart Contract
 
Ya yote wa amerika watudanganyiyo kwayo
 
Mi ni raia mzalendo by nature ila pia kwa mafunzo hiyo 18 haiwezi kunihusu, after all tunabishana kuhusu teknolijia, kukuzidi point isikufanye utoe vitisho hewa.
 
Mi ni raia mzalendo by nature ila pia kwa mafunzo hiyo 18 haiwezi kunihusu, after all tunabishana kuhusu teknolijia, kukuzidi point isikufanye utoe vitisho hewa.
Au sio?! 😊☻

Una mafunzo ya kupambana mpaka na TISS eeh wasikutie mikononi?! πŸ˜ƒ

Tena mtu wa design yako anatiwaga hatiani na mademu... na wanakutia na madole πŸ˜ƒ alafu ndo utaaminishwa huna mafunzo unajidanganya...., we una mafunzo ya kupambana na vibaka 😊
 
Kwani Ben Alivypotezwa DG alikuwa ni huyu ?
Inaweza kuwa hakuwa yeye lakini kumbuka huyu ni TISS kitambo tangu akiwa huko polisi,na kwa kuwa ndiye tuliyempata kwenye muda muafaka atakuwa anajua tu
 
unaandika vingereza viiiiiiiiingi na bado unachochora tu.
CHAI
 
Inaweza kuwa hakuwa yeye lakini kumbuka huyu ni TISS kitambo tangu akiwa huko polisi,na kwa kuwa ndiye tuliyempata kwenye muda muafaka atakuwa anajua tu
Sasa nyinyi mnataka mjue alipo Ben ili iweje?!

Hizo ni etiquette/protocols za kazi yao! Katu wewe raia huruhusiwi kujua!


Hivi tangu we uzaliwe ni Ben tu ndo alipotea?!....Hivi unajua ni kheri apotee mmoja ambaye anaonekana wazi anaelekea kuleta uvunjifu wa amani kuliko kusababisha kupotea maelfu ya watu mbeleni?!.....Unajua hilo?!


Ben alizidi utovu wa nidhamu kwa kauli zake dhidi ya viongozi na serikali ya kipindi kile kwa ujumla! Mpaka kufikia kuwa na wasiwasi na elimu ya mheshimiwa Rais huo ni uwalakini wa akili na kujitafutia matatizo! Na kuna mengi tu aliyasema na kufanya before tena very confidently! watu wakawa wanamchora tu ☻😊😊😊


Na hakuonywa mara moja tena kwa upendo na kubembelezwa!... hizo siri hazitokagi ni nyinyi ndo mnataka kujua ila wao wala hawanaga habari utajua mwenyewe na baba'ako na Mama'ako!
 
unaandika vingereza viiiiiiiiingi na bado unachochora tu.
CHAI
EeeenHeeee!
Umeona maluelue au siyo?

"Viingereza viiiingi", ni kwa sababu sijui kiswahili chake, ningejua ningetumia lugha yetu adhimu kabisa, bila ya hivyo viingereza.

Sasa huko "kuchochora" kama ni lugha ya kiswahili, hapo nitaomba msaada kujua maana yake ni nini na inahusiana vipi na niliyoandika hapo.
 
usibishane na watu watawaliwa wanaoamini vitu haviwezekani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…