Yepi?yaleyale
Kumbe🤔Labla watakuwa n washikaji tangu kitambo nje ya mambo ya usalama
IPO siku mgambo atamwagiza afande chupa ya gongo!!yaleyale
Asante sana, ni fikra fikirishi sana.Salaam, shalom!!
Zamani tuliaminishwa kuwa wajeda ni wazalendo, wenye Maadili, wapenda Nchi, Na haikuwa Rahisi mjeda kuhongwa Ili kupotoa HAKI.
Sasa tukio la uswahilini limerudi kutufikirisha upya kuwa, iweje mkuu wa police kukaa meza Moja na mjeda Kisha kumtuma KAZI chafu.
NB: Yehu yu njiani kumalizana na Jeze....bl...!
Karibuni 🙏
Umiza tena Ubongo kidogo utajua zaidi ya hapo🤔Asante sana, ni fikra fikirishi sana.
Ni kawaida sana wanajeshi kuwadharau polisi na kuwaita watoto wa mama, sasa, polisi kumtuma mjeshi, huo ni idhalilishaji.
Lakini, loopholes hazikosekani, labda kuna urafiki au undugu, mjeja anakubali kutumwa bila kujali itifaki.
Kivipi?Umiza tena Ubongo kidogo utajua zaidi ya hapo🤔
Movie, series n story za vijiweni are ruining our youths mindsets.Salaam, shalom!!
Zamani tuliaminishwa kuwa wajeda ni wazalendo, wenye Maadili, wapenda Nchi, Na haikuwa Rahisi mjeda kuhongwa Ili kupotoa HAKI.
Sasa tukio la uswahilini hapo Nchi Jirani ,limerudi kutufikirisha upya kuwa, iweje mkuu wa police kukaa meza Moja na mjeda Kisha kumtuma KAZI chafu.
NB: Yehu yu njiani kumalizana na Jeze....bl...!
Karibuni 🙏
Kumbe inawezekana kabisa Police kumtuma KAZI Mjesh?Movie, series n story za vijiweni are ruining our youths mindsets.
Ndio nikasema movies na series zinaharibu jinsi ya kufikiri..Movie, series n story za vijiweni are ruining our youths mindsets.