Inafikirisha sana, ambaye analindwa na walinzi 7 ndio huyu huyu tunaweka sticker za picha zake kwenye nyumba na magari ili atulinde

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Mimi nafikiri hawa jamaa waliamua tu kucheza na bonge la fursa lilionekana ndani yetu

Tabu, Wasi Wasi, Ulimbukeni wa imani, Ushirikina.

And they are very rich, na wamehakikisha hawatoki kapa kwa maana ni rahisi kucheza na akili yako, zaidi katika hofu yako.

Wanakuaminisha na muujiza mmoja alafu ikifika zamu yako wanakuambia umeshikiliwa na wachawi 10, basi toa sadaka ya kujimaliza ili mwaka huu Mungu afungue neema juu yako.

I dont care kama miujiza ipo au haipo all i know ni kwamba hawa ni matapeli wa kiroho, na naamini mkono wao juu yako una mengi ya kiroho juu yake.

 
Nina stickers za pechaaaa yanguu ukibandika sehemu kama Kuna joto AC inatokea hapo hapo

Siuzi ila utatoa sadokoooooo tu afuuu kumi
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Au sio
 
Nina stickers za pechaaaa yanguu ukibandika sehemu kama Kuna joto AC inatokea hapo hapo

Siuzi ila utatoa sadokoooooo tu afuuu kumi
Bwana asemaaaa nitoleeeee nami niwafanyieeee

UMATI:πŸ‘πŸΏπŸ‘πŸΏπŸ‘πŸΏπŸ‘πŸΏπŸ‘πŸΏπŸ‘πŸΏπŸ‘πŸΏπŸ‘πŸΏ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…