🤣🤣🤣🤣🤣Unakuta hao wabakaji nao humu wanalaan
Mi naona ni upumbavu tafuta ni Bora utafute bitch ugonge most of the time ni KWELI wamepungukiwa AKILI au masharti ya mganga kama Haina demu au MKE tafuta bitch MNA bargain mnamalizana tuHakuna kitu kinafikirisha sana kwa sasa kama hili la watu wazima kabisa tena wenye familia zao lakini unaambia eti kabaka mtoto mdogo.
Hivi hawa watu wanakuwa na matatizo gani hasa?. Kwanini watu wamekosa utu namna hii? Nini kinasababisha mambo kama Haya kutokea katika jamii zetu sasa hivi?
Itabidi sasa ifike mahali wanaume waanze kupimwa akili ili kujua kama wapo wazima. Haiwezekani kabisa mtu mwenye akili timamu abake mtoto mdogo.
Na inaumiza sana juzi mtoto wa miaka miwili kabakwa alfu ety mahakama inasema huyo mtu akupe faini laki mbili au aende jela......Mama mwingine tena alikua anamuita mtoto wa miaka 14 anamwambia huyo mtoto amuingilie kinyume na maumbile ni vitu vinasikitisha sana na kuumizaHakuna kitu kinafikirisha sana kwa sasa kama hili la watu wazima kabisa tena wenye familia zao lakini unaambia eti kabaka mtoto mdogo.
Hivi hawa watu wanakuwa na matatizo gani hasa?. Kwanini watu wamekosa utu namna hii? Nini kinasababisha mambo kama Haya kutokea katika jamii zetu sasa hivi?
Itabidi sasa ifike mahali wanaume waanze kupimwa akili ili kujua kama wapo wazima. Haiwezekani kabisa mtu mwenye akili timamu abake mtoto mdogo.