Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,663
Website yao kampuni gani Mkuu, Unazungumzia tanapa?Ukiingia kwenye website yao utapata kila kitu
Kuna 4 options kwa mtanzania wa kawaida.Habari zenu wadau wa JamiiForums, poleni na majukumu ya kila siku...
Asantesana kwa ufafanuzi.Kuna 3 options kwa mtanzania wa kawaida.
1.Self Drive-Utaendesha gari mwenyewe kuingia kwenye park-hapa nashauri 4X4 inayoeleweka-hasa kipindi cha mvua--Rav4/Xtrail kipindi cha kiangazi(Jaza full tank ukiwa Mto wa mbu au Karatu--mule porini hakuna sheli)...
Maelezo safi sana.Kuna 4 options kwa mtanzania wa kawaida.
1.Self Drive-Utaendesha gari mwenyewe kuingia kwenye park-hapa nashauri 4X4 inayoeleweka-hasa kipindi cha mvua--Rav4/Xtrail kipindi cha kiangazi(Jaza full tank ukiwa Mto wa mbu au Karatu--mule porini hakuna sheli)--fanya service ya maana maana gari ikiharibikia humo UTAJUTA-Gharama ya kuingiza Gari moja ndani ya hifadhi ni 20,000(less than 2000kgs)--linapokuwa zito zaidi--utalipa zaidi.Pia uweke hili kichwani--overspeeding fine ni 50,000/- na ukipata ajali utalipa 200,000/-
2.Kutafuta tour operator(kampuni)-itakayokupeleka Serengeti---roughly ni kuanzia shs 450,000 hadi 900,000/- terms and conditions apply.
3.Kukodisha basi pamoja na watu wengine--mpite Serengeti---tofauti na Ngorongoro crater--Serengeti inapitika kwa coaster.
4.Unapanda basi la kwenda Musoma (Coastline inapita huko).Utawaona wanyama pia--omba siti ya dirishani.
Mchanganuo wa bei uko hivi.
Conservation fee-kwa mtanzania ni 10,000/-
Chakula-tenga 100,000/-
Resthouse-20,000/- kama utalala kwenye hostel/au 10,000 kama utafanya camping/ukilala kwenye tented lodge sio chini ya USD100(speaking of the minimum)+concession fee 30,000/-
Guide-10,000/- per day(ukipenda--sio lazima,ila ni muhimu)
So 140 per day--ukiachana na usafiri(kwa kawaida game drive ya Serengeti ni siku mbili).
Laki tatu kwa matumizi binafsi inatosha.
Kwa unafuu kabisa--panda basi hadi Karatu/Mto wa mbu--chukua Guest house/Lodge na utafute Guide mwenye gari yake pale--mkiwa kikundi(zaidi ya watu wa4-mtaenjoy na gharama zitakuwa nafuu zaidi)
Kila la kheri.
1.Kwenye ajali inakuwaje Ndugu...nimeshatangulia mbele za haki hiyo laki 2 naitoa vipi?!Kuna 4 options kwa mtanzania wa kawaida.
1.Self Drive-Utaendesha gari mwenyewe kuingia kwenye park-hapa nashauri 4X4 inayoeleweka-hasa kipindi cha mvua--Rav4/Xtrail kipindi cha kiangazi(Jaza full tank ukiwa Mto wa mbu au Karatu--mule porini hakuna sheli)--fanya service ya maana maana gari ikiharibikia humo UTAJUTA-Gharama ya kuingiza Gari moja ndani ya hifadhi ni 20,000(less than 2000kgs)--linapokuwa zito zaidi--utalipa zaidi.Pia uweke hili kichwani--overspeeding fine ni 50,000/- na ukipata ajali utalipa 200,000/-.
2.Kutafuta tour operator(kampuni)-itakayokupeleka Serengeti---roughly ni kuanzia shs 450,000 hadi 900,000/- terms and conditions apply.
3.Kukodisha basi pamoja na watu wengine--mpite Serengeti---tofauti na Ngorongoro crater--Serengeti inapitika kwa coaster.
4.Unapanda basi la kwenda Musoma (Coastline inapita huko).Utawaona wanyama pia--omba siti ya dirishani.
Mchanganuo wa bei uko hivi.
Conservation fee-kwa mtanzania ni 10,000/-
Chakula-tenga 100,000/-
Resthouse-20,000/- kama utalala kwenye hostel/au 10,000 kama utafanya camping/ukilala kwenye tented lodge sio chini ya USD100(speaking of the minimum)+concession fee 30,000/-
Guide-10,000/- per day(ukipenda--sio lazima,ila ni muhimu).
So 140 per day--ukiachana na usafiri(kwa kawaida game drive ya Serengeti ni siku mbili).
Laki tatu kwa matumizi binafsi inatosha.
Kwa unafuu kabisa--panda basi hadi Karatu/Mto wa mbu--chukua Guest house/Lodge na utafute Guide mwenye gari yake pale--mkiwa kikundi(zaidi ya watu wa4-mtaenjoy na gharama zitakuwa nafuu zaidi).
Kila la kheri.
Vipi nikijeruhiwa na mnyama....inakuwa vipi kuhusu fidia na matibabu?Kuna 4 options kwa mtanzania wa kawaida.
1.Self Drive-Utaendesha gari mwenyewe kuingia kwenye park-hapa nashauri 4X4 inayoeleweka-hasa kipindi cha mvua--Rav4/Xtrail kipindi cha kiangazi(Jaza full tank ukiwa Mto wa mbu au Karatu--mule porini hakuna sheli)--fanya service ya maana maana gari ikiharibikia humo UTAJUTA-Gharama ya kuingiza Gari moja ndani ya hifadhi ni 20,000(less than 2000kgs)--linapokuwa zito zaidi--utalipa zaidi.Pia uweke hili kichwani--overspeeding fine ni 50,000/- na ukipata ajali utalipa 200,000/-.
2.Kutafuta tour operator(kampuni)-itakayokupeleka Serengeti---roughly ni kuanzia shs 450,000 hadi 900,000/- terms and conditions apply.
3.Kukodisha basi pamoja na watu wengine--mpite Serengeti---tofauti na Ngorongoro crater--Serengeti inapitika kwa coaster.
4.Unapanda basi la kwenda Musoma (Coastline inapita huko).Utawaona wanyama pia--omba siti ya dirishani.
Mchanganuo wa bei uko hivi.
Conservation fee-kwa mtanzania ni 10,000/-
Chakula-tenga 100,000/-
Resthouse-20,000/- kama utalala kwenye hostel/au 10,000 kama utafanya camping/ukilala kwenye tented lodge sio chini ya USD100(speaking of the minimum)+concession fee 30,000/-
Guide-10,000/- per day(ukipenda--sio lazima,ila ni muhimu).
So 140 per day--ukiachana na usafiri(kwa kawaida game drive ya Serengeti ni siku mbili).
Laki tatu kwa matumizi binafsi inatosha.
Kwa unafuu kabisa--panda basi hadi Karatu/Mto wa mbu--chukua Guest house/Lodge na utafute Guide mwenye gari yake pale--mkiwa kikundi(zaidi ya watu wa4-mtaenjoy na gharama zitakuwa nafuu zaidi).
Kila la kheri.
warithi wataitoa bila kuku consult1.Kwenye ajali inakuwaje Ndugu...nimeshatangulia mbele za haki hiyo laki 2 naitoa vipi?!
Vizuri tunakusubiri utoe maelekezo mazuri.Mkuu nipe mda ntakuletea package ya kwenda huko serenget ila ni tour ya pamoja usafiri ni kruza
Habari zenu wadau wa JamiiForums, poleni na majukumu ya kila siku.
Nimekua nikifuatilia kwa karibu hasa taarifa zinazoweza na kuniwezesha kuitembelea mbuga ya wanyama ya Serengeti kwa muda sasa.
Ila sijafanikiwa kupata taarifa sahihi hivyo ningewaomba wale wenye uzoefu wa kuzitembelea mbuga za wanyama Tanzania wanipe muongozo wa kipi nifuate ili niweze kutembelea Serengeti kwa garama nafuu za Mtanzania wa kawaida.
Nakaribisha michango yenu.
Habari zenu wadau wa JamiiForums, poleni na majukumu ya kila siku.
Nimekua nikifuatilia kwa karibu hasa taarifa zinazoweza na kuniwezesha kuitembelea mbuga ya wanyama ya Serengeti kwa muda sasa.
Ila sijafanikiwa kupata taarifa sahihi hivyo ningewaomba wale wenye uzoefu wa kuzitembelea mbuga za wanyama Tanzania wanipe muongozo wa kipi nifuate ili niweze kutembelea Serengeti kwa garama nafuu za Mtanzania wa kawaida.
Nakaribisha michango yenu.
Habari zenu wadau wa JamiiForums, poleni na majukumu ya kila siku.
Nimekua nikifuatilia kwa karibu hasa taarifa zinazoweza na kuniwezesha kuitembelea mbuga ya wanyama ya Serengeti kwa muda sasa.
Ila sijafanikiwa kupata taarifa sahihi hivyo ningewaomba wale wenye uzoefu wa kuzitembelea mbuga za wanyama Tanzania wanipe muongozo wa kipi nifuate ili niweze kutembelea Serengeti kwa garama nafuu za Mtanzania wa kawaida.
Nakaribisha michango yenu.
Gharama?!Kuna kampuni inaitwa Ezat, wameandaa tour mwezi April . Nilienda nao Serengeti November wako vizuri sana. View attachment 1715758
Gharama?!
π Mkuu unaposema cheki na hawa unakosea sana, sema wakucheki maana unahusika moja kwa moja, tunakufahamu man, ππ.Check na hawa wanaenda mwezi wa nne. Namba zao ziko chini ya hilo tangazo. Wako vizuri sana, hutajuta.View attachment 1715760
Kuna 4 options kwa mtanzania wa kawaida.
1.Self Drive-Utaendesha gari mwenyewe kuingia kwenye park-hapa nashauri 4X4 inayoeleweka-hasa kipindi cha mvua--Rav4/Xtrail kipindi cha kiangazi(Jaza full tank ukiwa Mto wa mbu au Karatu--mule porini hakuna sheli)--fanya service ya maana maana gari ikiharibikia humo UTAJUTA-Gharama ya kuingiza Gari moja ndani ya hifadhi ni 20,000(less than 2000kgs)--linapokuwa zito zaidi--utalipa zaidi.Pia uweke hili kichwani--overspeeding fine ni 50,000/- na ukipata ajali utalipa 200,000/-.
2.Kutafuta tour operator(kampuni)-itakayokupeleka Serengeti---roughly ni kuanzia shs 450,000 hadi 900,000/- terms and conditions apply.
3.Kukodisha basi pamoja na watu wengine--mpite Serengeti---tofauti na Ngorongoro crater--Serengeti inapitika kwa coaster.
4.Unapanda basi la kwenda Musoma (Coastline inapita huko).Utawaona wanyama pia--omba siti ya dirishani.
Mchanganuo wa bei uko hivi.
Conservation fee-kwa mtanzania ni 10,000/-
Chakula-tenga 100,000/-
Resthouse-20,000/- kama utalala kwenye hostel/au 10,000 kama utafanya camping/ukilala kwenye tented lodge sio chini ya USD100(speaking of the minimum)+concession fee 30,000/-
Guide-10,000/- per day(ukipenda--sio lazima,ila ni muhimu).
So 140 per day--ukiachana na usafiri(kwa kawaida game drive ya Serengeti ni siku mbili).
Laki tatu kwa matumizi binafsi inatosha.
Kwa unafuu kabisa--panda basi hadi Karatu/Mto wa mbu--chukua Guest house/Lodge na utafute Guide mwenye gari yake pale--mkiwa kikundi(zaidi ya watu wa4-mtaenjoy na gharama zitakuwa nafuu zaidi).
Kila la kheri.
UmemalizaKuna 4 options kwa mtanzania wa kawaida.
1.Self Drive-Utaendesha gari mwenyewe kuingia kwenye park-hapa nashauri 4X4 inayoeleweka-hasa kipindi cha mvua--Rav4/Xtrail kipindi cha kiangazi(Jaza full tank ukiwa Mto wa mbu au Karatu--mule porini hakuna sheli)--fanya service ya maana maana gari ikiharibikia humo UTAJUTA-Gharama ya kuingiza Gari moja ndani ya hifadhi ni 20,000(less than 2000kgs)--linapokuwa zito zaidi--utalipa zaidi.Pia uweke hili kichwani--overspeeding fine ni 50,000/- na ukipata ajali utalipa 200,000/-.
2.Kutafuta tour operator(kampuni)-itakayokupeleka Serengeti---roughly ni kuanzia shs 450,000 hadi 900,000/- terms and conditions apply.
3.Kukodisha basi pamoja na watu wengine--mpite Serengeti---tofauti na Ngorongoro crater--Serengeti inapitika kwa coaster.
4.Unapanda basi la kwenda Musoma (Coastline inapita huko).Utawaona wanyama pia--omba siti ya dirishani.
Mchanganuo wa bei uko hivi.
Conservation fee-kwa mtanzania ni 10,000/-
Chakula-tenga 100,000/-
Resthouse-20,000/- kama utalala kwenye hostel/au 10,000 kama utafanya camping/ukilala kwenye tented lodge sio chini ya USD100(speaking of the minimum)+concession fee 30,000/-
Guide-10,000/- per day(ukipenda--sio lazima,ila ni muhimu).
So 140 per day--ukiachana na usafiri(kwa kawaida game drive ya Serengeti ni siku mbili).
Laki tatu kwa matumizi binafsi inatosha.
Kwa unafuu kabisa--panda basi hadi Karatu/Mto wa mbu--chukua Guest house/Lodge na utafute Guide mwenye gari yake pale--mkiwa kikundi(zaidi ya watu wa4-mtaenjoy na gharama zitakuwa nafuu zaidi).
Kila la kheri.