Pre GE2025 Inahitaji akili kubwa kiasi gani kuelewa kwamba kwa kuwa Zanzibar wana serikali na Rais wao, Rais wa Tanzania, kimsingi, ni Rais wa bara?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
This is 100% correct...

It's absolutely inappropriate....
There (in bold black ink) is where the problem is...

There is no "willingness" or "free personal will" on matters concerning our national (Tanganyika) sovereignty...

She has to be forced to do the needful.........leave Tanganyika for Tanganyikans...

Zanzibar is for Zanzibarians and Tanganyika is for Tanganyikans....

She's a Zanzibarian, she doesn't deserve to be the president of Tanganyika in the name of the "union..."

This is the union of two countries TANGANYIKA and ZANZIBAR. Leadership matters of each country remain in the hands of citizens of each member countries. That's why it's impossible for a Tanganyika citizen to hold any leadership positions in Zanzibar...!!
 
Muundo wa serikali ya mapinduzi Zanzibar kasome katiba jamhuri ya muungano wa Tanzania pamoja na muundo wa serikali zote mbili ndio yenye jibu la maswali yako.
 
If you force her, you will be breaking the law, denying her of her constitutional rights
 
Heading inajitosheleza kwa mtu mwenye ubongo nyumbulifu
 
If you force her, you will be breaking the law, denying her of her constitutional rights
That constitutional right for a citizen of foreign country to rule people of another country was wrongful placed in our constitution and it is over - ruled by the supreme power of the citizens of that particular country...

And remember, The 1977 Constitution of Tanzania is not a "will" of all Tanzanians....

It was written by just not more than 20 people, members of a Political Party called TANU which later changed itself to CCM...

The whole Constitution therefore carries the interests of those few people and that of a particular Political Party neglecting the interests of more than 64,000,000 Tanganyikans...

Therefore, what you call "denying her constitutional right" actually is null & void. Tanganyikans' rights over their country surpasses Samia Suluhu Hassan's rights who is a Zanzibarian.

I still say, she has to be forced to do the needful. We don't need her in our country....
 
Katika vitu ambavyo Mwl Julius Kambarage Nyerere hakutakiwa hata kuwaza ni kuungana na Zanzibar. Lakini bahati mbaya, ilishatokea. Kila 26/4/ inapofika ilipaswa kuwa siku ya maombolezo, kwa Watanganyika. Machungu, kuporwa uchumi wao, kutukanwa na kunyimwa utambulisho wao vinatukumbusha ajali ya Muungano usio sawa daima.
 
Hiyo ni suluhu ya muda mrefu, lakini kwa sasa tunahitaji suluhu ya haraka, na nina uhakika Samia akijitoa uchaguzi wa 2025 itasaidia sana
Ajitoe ili iweje? Kwani Katiba inasemaje kuhusu Samia? Mawazo ya mvuta bangi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…