hueleweki MkuuTahadhari ndugu mtanzania, nunua gari kulingana na mahitaji yako. Usiangalie nani anafanya nn na kwa sababu gani.
Gari kwa dunia ya kesho nchi hii itakuwa ni hitaji muhimu, achana na maswala ya muonekano, kuwa practical.
Usijiingize kwenye mashindano ya nani anaendesha nn. Lengo LA Gari ni kufacilitate mobility, kama unaweza kufikisha kwa pesa kidogo Fanya hivyo. Hiyo ndio akili.
Passo ni gari safi tu. Endesheni kwa kujiamini.
BTW its your car, Why sweat over what the other guy is saying. Enjoy your ride. Hata kama ni Bajaj q..what!?
Mkuu nakubaliana na wewe. Kila kitu. Japo lazima ujiulize kwa watu Wa mjini kama wewe wangapi wanafuga kuku, wanataka kusafiri mpk kijiji wajiendeshe au wanataka kupakia pumba!?hueleweki Mkuu
hivi inatokea safari ya ghafla kweli kwenda nyumbani utawasha kiPasso na upakie wanao (panda Bus)
unataka kwenda kuchukua pumba za kuku nk kwa ajili ya mifugo utachukua Harrier chukua PASSO
PASSO na Bajaj ni gari za matumizi ya sokoni, Pick up shamba
usiwadanganye wenzako Mabasi yamejaa wayatumie wenzetu huko Nje wanatumia Tram, Train Ndege nk hawachukui vigari vinavyopeperushwa na malori
Utoaji wa thermostat husababisha engine kuchoka harakaKuna MTU alienda Rwanda na passo.
Hiyo Gari yako inachemka kwasababu hujatoa thermostat
Huyo NTU wakushinda vijiweniWe jamaa unajuaga kila kitu kila jukwaa upo asee shikamooo
Kutoa thermostat hua ndio ushamba 1st class.Kuna MTU alienda Rwanda na passo.
Hiyo Gari yako inachemka kwasababu hujatoa thermostat
Passo haina shida...shida ipo kwa wamiliki.....wewe umeshajua gari ni ndogo mathalani ile ya piston 3.....unailazimisha kupanda kitonga ikiwa speed 100....kwa nini isizingue..?Passo iondolewe barabaran
Mpaka kufikia hatua ya kumiliki gari aina ya PASSO inapaswa ujitoe ufahamu mbele ya kadamnasi. Gari gani isiyoweza kutembea 200 kms bila kuchemsha?
Nasubiria tamko/katazo la hizi gari toka ngazi za juu.
Huu ni mtazamo mkuu! na inawezekana ulipata gari ikiwa tayali inamatatizo. Mimi nina Passo kwasasa mbali na nyingine ninazotumia, na nimekuwa nikienda karibu mara mbili kila mwezi Mwanza - Dodoma bila kuhisi hiyo shida ya kuchemsha.
Unaweza kuangalia yafuatayo:
1. Hakikisha rejeta yako imefanyiwa ukaguzi/kusafishwa na mtu ambaye ni mtaalam.
2. Jaribu kuachana na kuweka maji ya Duwasa/Dawasco au kisima kwenye rejeta - jitahidi kutumia coolant. Napendekeza utumie coolant bora sio zile zinazouzwa gerezani. Pata kutoka BP au kampuni nyingine zinazojitambua.
3. Fanya wholesome wngine check - ipimwe system yote. Garage za veta au kwengineko wanaweza kupima gari gako na kukushauri vipuri ambavyo tayali vimechakaa na unahitaji kubadilisha.
Naamini ukifanya haya mkuu wangu, tatizo linaweza kupungua.
TATIZO LA PASSO:
Gari nyingi aina ya Passo zona shida ya usukani kuwa mgumu - kuna indicator moja inajitokeza unapowasha gari "EPS" - ikitokea hiyo unaweza kushawishika kutupa gari kwani hata baadhi ya mafindi wa toyota hasa mikoani hawajui namna ya kurekebisha.
Zaidi ya shida hii sijaona. Kinachonifurahisha zaidi ni kuwa natumia 120,000/- mwezi mzima tofauti na gari zangu nyingine nilipokuwa natumia zaidi ya 250,000/- kwa mwezi (hii nazungumzia Mwanza).
Jitahidi matunzo kwa gari yoyote - utaipenda
Unamkuta mtu yupo TRA lakini anaendesha PASSO. Mambo ya ajabu kabisa haya.
Acheni upuuzi wenu hii ni gari amabayo naamini Watanzania wengi kutokana na hali zao ni ngumu sana kuimiliki.
Bei ya sasa ya Passo ni kuanzia milioni 7 mpaka 10. Hebu niambie ni Watanzania wangapi wanaweza kununua hii gari?.
Tusijifanye sisi ni Wajapan
Hivi Tanzania imewahi kutengeneza hata pikipiki?
Mnaosifia vijigar vidogo mjue si advisable sana kwa safari ndefu za kwenye highway! Vina hatari ya kupinduliwa kwa upepo! Nyie chekeleeni mafuta kiduchu
Sent using Jamii Forums mobile app