and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
- Thread starter
- #201
Pastor ndo hana Ashki? Askofu na Nabii wa pale mwenge anatakiwa kupimwa DNA kwa tuhuma ya kuzaa na mke wa mtu. Viroja!We jamaa nlikua nahisi kama pastor kwa miaka mingi..kumbe hahahhahaa unataka nikusaidie kutenda dhambi? No way, siwez kuwa accomplice