fredo fred
JF-Expert Member
- Oct 17, 2015
- 748
- 1,615
Hii ni starlet ya 1993 kwa hizi awamu ya tano kununua hii gari ni kama kufunga nayo ndoa.
Imagine hiyo starlet hapo chini ina usajiri wa DQR na anaiuza 6M sasa kwa usawa huu kweli kwenda kununua gari kama hiyo naona ni kupoteza pesa tu ni bora kununua vitz au starlet ya model kuanzia 1996 aubgari nyingine yoyote ambayo model yake atleast ni ya mwaka 2000.
Kumpata mtu wa kununua hiyo gari ni kazi kubwa ukizingatia gari yenyewe ni manual transmission.
Hio gari inayouzwa used 6m ina AC na power steering tu haina power windows yenyewe ni kutumia handle tu
Mtizamo wangu unaweza kuwa + au -View attachment 1678721
View attachment 1678724View attachment 1678723View attachment 1678722View attachment 1678726View attachment 1678725
Imagine hiyo starlet hapo chini ina usajiri wa DQR na anaiuza 6M sasa kwa usawa huu kweli kwenda kununua gari kama hiyo naona ni kupoteza pesa tu ni bora kununua vitz au starlet ya model kuanzia 1996 aubgari nyingine yoyote ambayo model yake atleast ni ya mwaka 2000.
Kumpata mtu wa kununua hiyo gari ni kazi kubwa ukizingatia gari yenyewe ni manual transmission.
Hio gari inayouzwa used 6m ina AC na power steering tu haina power windows yenyewe ni kutumia handle tu
Mtizamo wangu unaweza kuwa + au -View attachment 1678721