luckawanna
Member
- May 9, 2014
- 68
- 18
Wadau,
Nahitaji kupata bamboo /mianzi
ambayo imekomaa na eidha
imekauka ama bado (ikiwa
haijavunwa pia). Naomba kwa
yeyote anayefahamu inapopatikana
ama kama ni mkulima anijuze.
Nahitaji kupata bamboo /mianzi
ambayo imekomaa na eidha
imekauka ama bado (ikiwa
haijavunwa pia). Naomba kwa
yeyote anayefahamu inapopatikana
ama kama ni mkulima anijuze.