Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,746
ha haaaaaaaaaaaa, rafiki umegundua mke anauma eeeh!Hahahahaa! Ili mradi tu wasitugeuke..... Hawachelewi kunogewa afu wakatutangazia zoezi limesitishwa! Ye akarudi kwako bibi akarudi kwangu..... Watakuwa wanajikumbushiaje sasa? STUKA FP...Think!! Ni heri tuanze sisi. Afu tukirudi tunawaambia "hamna kitu mule, usiende atakuchafua tu" Hahahahahah!!!!
Mi ndo sitasamehe? Khaaa!ha haaaaaaaaaaaa, rafiki umegundua mke anauma eeeh!
na mimi nimefanya kusudi kukuambia waanze wao, ili wakijakusitisha, mimi namsamehe hubby wangu tunaendelea, kazi itakuwa kwako kukumbuka.....................lol!