KERO Inaingia wiki ya tatu sasa wakazi wa Kimara hawajui kitu kinachoitwa maji Meneja wa DAWASA kazi imekushinda, ondoka ofisini

KERO Inaingia wiki ya tatu sasa wakazi wa Kimara hawajui kitu kinachoitwa maji Meneja wa DAWASA kazi imekushinda, ondoka ofisini

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

chakii

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
20,834
Reaction score
26,217
Inaingia wiki ya tatu sasa wakazi wa Kimara hawajui kitu kinachoitwa maji , na wala hamna taarifa wala maelezo yoyote ambayo yanatolewa na mamlaka husika.

Meneja umetulia ofisini una sign posho na kupokea mshahara bila kufanya kazi, maana ni kazi gani hiyo ambayo unafanya wakati wananchi hawapati huduma?

Tusishangae muda wowote kukasikika mlipuko wa magonjwa yatokanayo na ukosefu wa maji kama ugonjwa wa kipindupindu n.k yanayosababishwa na ukosefu wa maji.

Soma Pia: Wananchi wa Tankini na Muheza - Kibaha hatuna huduma ya maji wiki sasa, DAWASA hawatupi majibu ya kueleweka

Ni familia ngapi au mama Lishe wangapi wanaomudu kununua maji ya bomba kwa shilingi 1500 bei ya dumu moja kwa sasa? Au maji ya chumvi kwa shilingi 1000?

Aaaa inaudhi sana.
 
Inaingia wiki ya tatu sasa wakazi wa Kimara hawajui kitu kinachoitwa maji , na wala hamna taarifa wala maelezo yoyote ambayo yanatolewa na mamlaka husika.

Meneja umetulia ofisini una sign posho na kupokea mshahara bila kufanya kazi, maana ni kazi gani hiyo ambayo unafanya wakati wananchi hawapati huduma?

Tusishangae muda wowote kukasikika mlipuko wa magonjwa yatokanayo na ukosefu wa maji kama ugonjwa wa kipindupindu n.k yanayosababishwa na ukosefu wa maji.

Soma Pia: Wananchi wa Tankini na Muheza - Kibaha hatuna huduma ya maji wiki sasa, DAWASA hawatupi majibu ya kueleweka

Ni familia ngapi au mama Lishe wangapi wanaomudu kununua maji ya bomba kwa shilingi 1500 bei ya dumu moja kwa sasa? Au maji ya chumvi kwa shilingi 1000?

Aaaa inaudhi sana.
Haondoki huyo mpaka atumbuliwe. Akiulizwa atatowa sababu millioni moja za uongo mtupu.

Ningewaona wa maana sana chadomo wangekuwa wanafanya maandamano kwa mambo kama hayo.
 
Sometimes rais anaweza kuwa na nia nzuri tu ila hawa watendaji wake ndo wanafanya aonekane kituko. Huyo muhisika asipochukuliwa hatua basi mama analea.
 
Haondoki huyo mpaka atumbuliwe. Akiulizwa atatowa sababu millioni moja za uongo mtupu.

Ningewaona wa maana sana chadomo wangekuwa wanafanya maandamano kwa mambo kama hayo.
Kwani ccm hawaweI kuandamana

Ova
 
Poleni sana mkuu....
Asante boss. Pamoja na kuwa na reserve yangu kidogo bado haijaweza kunisaidia kukutanisha ratiba za utokaji wa maji . Hali imekuwa mbaya kupitiliza
 
Hivi sio vipaumbele vya hii serikali otherwise hili tatizo wangelimaliza nchi nzima tayari. Vipaumbele ni mabango, pesa kwa wake wenza, serikali kununua V8.
 
Back
Top Bottom