Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Asante Kwa kuwa mzalendoTunaomna Simba na Yanga zifike fainal
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante Kwa kuwa mzalendoTunaomna Simba na Yanga zifike fainal
Si ni ninyi mliowapa nafasi Horoya leo mmewageuka?Al hilal sio wachovu kama horoya kenge wew
Vipi kuhusu vipers?Al hilal sio wachovu kama horoya kenge wew
🥱😆🤣🤸 Mwiko behind! Tangu mwaka 1998 si ni umri wa mtu mzima kabisa huo? Uto wanakaribia kumfikia Mr.Bean kwa vichekesho.Kipofu kaona mwezi toka 1998 alikuwa anatembea na mwiko tu nyuma
Kengeee mwenyewee, umevurugwaaa nn,Al hilal sio wachovu kama horoya kenge wew
Wee hata huko losers hilo kombe unaloooo??Huko CL una kombe lolote!?
Ubingwa Jangwani.Wakuu kwema? Kama kichwa kinavyojieleza hapo, ni kuwa, kila mtu anajua mwisho wa Simba kimataifa ni Robo Fainali. Hata wenyewe wana Simba ukiwauliza huwa wanasema wao mafanikio yao huwa ni kufika Robo Fainali kimataifa.
Je, wananchi Yanga nyie vipi, mnaiona timu yenu ikifika hatua ipi? Je, na nyie mtaridhika hapo Robo Fainali kama hawa Simba au mnatoboa kwenda mbele zaidi?
Komenti ziwe fupifupi.
Sikia wew Mkojani Usifananishe hao manyoya fc na waharabu. Ngoja mkutane nao huko robo fainal ndio utajua haujui ngumbar wewKengeee mwenyewee, umevurugwaaa nn,
Hao Horoya wachovu wako makundi CL, je nyie Utopwisee mko wapiii??
Mbweha wee.
Wee usiniletee makasiriko mie hapa, Al hilal aliwafurushaa CL mkaangukia kombe la losers, sasa unaanzaje kusema horoya wachovu akat yuko ktk mashindano ambayo wee ulitolewa km paka mwizi jikoni kwa watu.Sikia wew Mkojani Usifananishe hao manyoya fc na waharabu. Ngoja mkutane nao huko robo fainal ndio utajua haujui ngumbar wew
Mkuu avatar yako inatukwazaMbna hao wachezaji walishindwa kuwabakisha CL na Al Hilal aka wafurushaaaaa, CL sio makalio kwamba kila team inashiriki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inakukwazajeeee?? Hebu sema.Mkuu avatar yako inatukwaza