INAKERA:inaandika typing.......nusu saa nzima halafu akisend kumbe ni OK tu.

INAKERA:inaandika typing.......nusu saa nzima halafu akisend kumbe ni OK tu.

adden

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
7,033
Reaction score
15,638
Nyie madem mnaboa sana!
Unachat na mtuuu kila mda inaandika typing......
Mwisho kumbe unajibu tu P.
acheni kusita sita huvyo mnavyoogopa kutuambia ndio tunavipenda..nyambafuu
 
Aisee Mkuu mbona umewatukana kistarabu hivyo??? Nikusaidie nini? Ili tupunguze hasira wote?
 
hapo unategemea unajiandaa kifikra kusoma kifungu cha habari kumbe ni muhtasari tuu
 
Waache wafarakane kwa kujipendekeza..uliipenda mwenyewe
 
Back
Top Bottom