Bado hii kasumba ipo!,Miaka ya 2000 jamaa yangu uzalendo ulimshinda,akawaachia bili!Wanawake wenye tabia hii huwa mnafikiria nini? Nimekaa sehemu nakusubiri kipenzi changu unakuja na watu zaidi ya wanne unatagemea nini? eti mashosti,
Mtakula na kunywa mwaisho wa siku najifanya naongea na simu napita mlango wa nyuma na simu nazima,
Badilikeni.View attachment 3097707
Ungemwambia mapema aje peke yake tu.Wanawake wenye tabia hii huwa mnafikiria nini? Nimekaa sehemu nakusubiri kipenzi changu unakuja na watu zaidi ya wanne unatagemea nini? eti mashosti...
Hata kufika hutafika walai 😊!
mwebepandemnawatoaga wapi wa hivyo
Kama kaja na rafiki zake, ina maana yupo tayari rafiki zake kushuhudia kile atakachofanyiwa...Hata kufika hutafika walai 😊!
hasa ifmUshasema kutokea kambi ya vyuoni
Kwamba ndio uanze na rafiki zake ili Akili imkae sawa ausio!Kama kaja na rafiki zake, ina maana yupo tayari rafiki zake kushuhudia kile atakachofanyiwa...
age go hatuna hayo mamboUshasema kutokea kambi ya vyuoni
Hapana, ni kwamba kile ningekufanyia tungekua peke yetu, nitakifanya mbele ya marafiki zako sababu sii umekuja nao...Kwamba ndio uanze na rafiki zake ili Akili imkae sawa ausio!
Huendi mbinguni lo