Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
- Thread starter
-
- #121
Wewe ni msukule wa mwendazake, hujadili hoja unajadili watu wasiohusikaBila kusahabu kuwa hao wadada wanauchungu wa kutumikishwa rushwa ya ngono ili wapate nafasi! Mbowe kafanya sana sasa chafu za kulala na hawa wamama ndo wapate nafasi ya ubunge wa viti malum pia alikuwa na upendeleo mkubwa wa kikabila huyu tapeli Mbowe!
Unajielwa wewe kweli?Wacha tu mafuta yapande bei kuliko kutawaliwa na kiongozi dhalimu.
Waache wapigwe,wakigeuka kibano,mbele kibano nyuma kibano kushoto kibano kulia kibano,juu kibano ,chini kibano mpk mma waite maaa.Si mmekabidhi nchi kwa wapigadili mtakiona cha mtema kuni, Magufuli aliongea sana mkaishia kumuita raisi mshamba πππ sasa wajanja ndio hao wako kuwalazeni njaa
Ndugu yangu Johnny Sack, nakuomba sana usichanganye mambo. Kumbuka kuna Dunia na kuna Tanzania...hivi ni vitu viwili tofauti!Leo tumeona bei mpya za mafuta zikipanda, na sababu tunajua tutaambiwa kuwa ni mabadiliko kwenye soko la Dunia.
Naam, ni kweli bei za mafuta zimekuwa zikishuka duniani wala hilo halina ubishi. Lakini usisahau kuwa Dunia na Tanzania ni maeneo tofauti.Lakini trend kwenye soko la dunia inaonyesha bei za mafuta zimekuwa zikishuka miezi ya karibuni, bei zilikuwa zimefika hadi Dola 124 kwa pipa mwezi Februari.
Sawa sawa, hilo linatokea huko duniani? Hata hivyo jiulize kaswali kadogo; je Tanzania hii yetu iko katika hiyo dunia unayoiongelea?Tangu mwezi Juni yalikuwa kwenye Dola 103 na yamekuwa yakishuka na hadi kufikia hata chini ya Dola 94 siku za karibuni.
Kwa kujibu haya maswali yako na mimi nakupa maswali machache.Iweje TZ yanazidi kupanda kila mwezi?
Au basi yabaki hata bei ileile angalau!
Mafuta hayajashuka jana, nimekuwekea chart hapo, au huwezi kusoma chart?Kwa akili yako ya kawaida ulivyofikiri ktk kichwa chako ukaconclude kuwa mafuta tunayotumia leo hii yametoka nje ya nchi janaπ
Haya mafuta unayoona yanauzwa kwa bei hiyo ni yale yalisyosafirishwa miezi iliyopita ambayo kimsingi bei ilikuwa juu.
Hayo mafuta yaliyoshuka ktk soko la dunia impact yake itaonekana miezi ijayo
Hiyo miezi miwili nyuma yalikua pia yameshuka. Miezi miwili nyuma ni June, kaangalie bei ya June.Kwa akili yako ya kawaida ulivyofikiri ktk kichwa chako ukaconclude kuwa mafuta tunayotumia leo hii yametoka nje ya nchi jana[emoji2]
Haya mafuta unayoona yanauzwa kwa bei hiyo ni yale yalisyosafirishwa miezi iliyopita ambayo kimsingi bei ilikuwa juu.
Hayo mafuta yaliyoshuka ktk soko la dunia impact yake itaonekana miezi ijayo
Aisee!Kwa akili yako ya kawaida ulivyofikiri ktk kichwa chako ukaconclude kuwa mafuta tunayotumia leo hii yametoka nje ya nchi janaπ
Haya mafuta unayoona yanauzwa kwa bei hiyo ni yale yalisyosafirishwa miezi iliyopita ambayo kimsingi bei ilikuwa juu.
Hayo mafuta yaliyoshuka ktk soko la dunia impact yake itaonekana miezi ijayo
Jamaa wana kazi ngumu sana kutetea unga wao!Hiyo miezi miwili nyuma yalikua pia yameshuka. Miezi miwili nyuma ni June, kaangalie bei ya June.
Bei ya soko la dunia kwa June ni sawa na April, Ila kwa nn huku bei imeongezeka?
Mafuta yalianza kushuka tangia May.. Hizo impact tujulishwe ni lini.Kwa akili yako ya kawaida ulivyofikiri ktk kichwa chako ukaconclude kuwa mafuta tunayotumia leo hii yametoka nje ya nchi janaπ
Haya mafuta unayoona yanauzwa kwa bei hiyo ni yale yalisyosafirishwa miezi iliyopita ambayo kimsingi bei ilikuwa juu.
Hayo mafuta yaliyoshuka ktk soko la dunia impact yake itaonekana miezi ijayo
Kwani uongo?Si mmekabidhi nchi kwa wapigadili mtakiona cha mtema kuni, Magufuli aliongea sana mkaishia kumuita raisi mshamba [emoji23][emoji23][emoji23] sasa wajanja ndio hao wako kuwalazeni njaa
Hahaha lazma mtubu. Unapokea pipi mkono wa kushoto unakula nyundo mkono wa kulia πππBaba Magufuli kokote uliko "nakuomba msamaha, nimekosa mimi, nimekosa Sana". Wahenga walisema mtoto akililia wembe mpe, Sasa wembe ndio unatukata.
πππππππππππππYaani sasa hivi ukipita huku barabarani unaokota tu hela!
Samia kamwaga maburungutu ya pesa barabarani. Tunavuna tunavyotaka.Yaani sasa hivi ukipita huku barabarani unaokota tu hela!
Ananauuuupiga mwiiiiiiingiiiii hadi mtoe samadi na bado maana chawa wengi humu ni ambao wanakula kwa wazazi wao au wapo kwenye familia nufaika na mfumo ila wengi wetu huku huyu bb kachafua hali hana jipyaWakuu habari,
Leo tumeona bei mpya za mafuta zikipanda, na sababu tunajua tutaambiwa kuwa ni mabadiliko kwenye soko la Dunia.
Lakini trend kwenye soko la dunia inaonyesha bei za mafuta zimekuwa zikishuka miezi ya karibuni, bei zilikuwa zimefika hadi Dola 124 kwa pipa mwezi Februari lakini tangia juni bei zilikuwa zinashuka na hadi sasa ni Dola 94 Serikali inatumia kikokotoo gani?
Nimeweka hiyo chart hapo chini ambayo inaonyesha mafuta yalikuwa ghali zaidi kwenye mwezi Februari na Machi yakifika hadi Dola 124 kwa pipa.
Lakini tangu mwezi Juni yalikuwa kwenye Dola 103 na yamekuwa yakishuka na hadi kufikia hata chini ya Dola 94 siku za karibuni.
Iweje TZ yanazidi kupanda kila mwezi?
Au basi yabaki hata bei ileile angalau?
Au haya mafuta yatakayouzwa kesho kwa bei mpya ambayo ndiyo ya juu zaidi kutokea yaliagizwa lini kwa bei gani?
View attachment 2312674
View attachment 2312748
wewe utakua ni msukule wa jiwe ndio maana umekuja na matusi badala ya hojaAnanauuuupiga mwiiiiiiingiiiii hadi mtoe samadi na bado maana chawa wengi humu ni ambao wanakula kwa wazazi wao au wapo kwenye familia nufaika na mfumo ila wengi wetu huku huyu bb kachafua hali hana jipya