Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,442
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umenikumbusha jamaa flani hivi afu huwa anajisnap ile ya mbwa ya kutoa ulimi nje[emoji16][emoji16]
Aisee ebu kua serious na unachokisema.Hata dume zima kutumia smartphone ni ujinga. Basi tu.....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huo ndo ufala to the highest maximum.Vipi na sisi tulio lazimishwa tudownload na wapenzi wetu ili wawe wanatumia,
Mwanaume mwenye akili timam Smartphone ya nini?[emoji85][emoji85][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee ebu kua serious na unachokisema.
Mwanaume mwenye akili timamu unatumia vipi imoji ya visungura? Kua serious kidogoMwanaume mwenye akili timam Smartphone ya nini?[emoji85][emoji85][emoji23][emoji23][emoji23]
Nipo kwenye gari hapa nimeshangaa kumwona jamaa dume na mindevu yake ana app ya Snapchat kwenye simu yake
Bila shaka anaitumia hii app,binafsi naona hii App imekaa kutumika tumika na wanawake ,sasa dume unatumia Snapchat ya nini??
Je ni fresh kweli kwa dume kutumia hii App??View attachment 1821755
Kwan kuna shida kuwa na app hiyo kwenye simu na kwan nani alikwambia hiyo app ni ya kike? Je kama demu wake ndo ali download na ndo anatumiaNipo kwenye gari hapa nimeshangaa kumwona jamaa dume na mindevu yake ana app ya Snapchat kwenye simu yake
Bila shaka anaitumia hii app,binafsi naona hii App imekaa kutumika tumika na wanawake ,sasa dume unatumia Snapchat ya nini??
Je ni fresh kweli kwa dume kutumia hii App??View attachment 1821755