Joan lewis
JF-Expert Member
- Jan 3, 2019
- 993
- 1,463
Kama Kichwa Cha Habari kinavyoeleza Kuna Nini nyuma ya pazia? Marekani as kiranja wa Dunia anafahamika kama kinara wa kupiga chapuo wanawake kupewa nafasi something which is not bad.
Ila Wao Huyu Rais wa 47 hawako tayari kuchagua Rais mwanamke. Ila Africa na uchanga wetu wanaoona it's fare kuweka wanawake kama Marais na kuwa-empower.
Mimi sio mbaguzi lakin Tangu Bi Hilary Clinton na sasa Kamala ni Men wanachukua. Kumbe hata wangemweka Trump na Mama maria angeshinda Trump.😜
Soma Pia: Donald Trump ashinda Urais wa Marekani kwa 51.05% dhidi ya Harris Kamala aliyepata 47.46%
Unaweza kuona pia Biden alishinda pamoja na umri mkubwa kamshinda Trump lkn ilipokuja Kwa Kamala wakaona Shida.🥲 Hii tunaiitaje wadau wa wa Jukwaa na watu Excellence wa JF?
Ila Wao Huyu Rais wa 47 hawako tayari kuchagua Rais mwanamke. Ila Africa na uchanga wetu wanaoona it's fare kuweka wanawake kama Marais na kuwa-empower.
Mimi sio mbaguzi lakin Tangu Bi Hilary Clinton na sasa Kamala ni Men wanachukua. Kumbe hata wangemweka Trump na Mama maria angeshinda Trump.😜
Soma Pia: Donald Trump ashinda Urais wa Marekani kwa 51.05% dhidi ya Harris Kamala aliyepata 47.46%
Unaweza kuona pia Biden alishinda pamoja na umri mkubwa kamshinda Trump lkn ilipokuja Kwa Kamala wakaona Shida.🥲 Hii tunaiitaje wadau wa wa Jukwaa na watu Excellence wa JF?