toriyama
JF-Expert Member
- Feb 18, 2014
- 1,139
- 2,223
Inakuaje Mchina Kariakoo anauza bidhaa/vitu kwa bei chee lakini mtanzania anakuuzia kwa bei ghali? Kwanini mtanzania naye asiuze bei chee kama mchina?
Mfano unakuta mtanzania anakuuzia kitu kwa 90,000/= Tsh lakini ukienda kwa mchina anakuuzia 45,000/=Tsh
Kwanini mtanzania asiende kununua kwenye bei chee kwa mchina kuliko kununua bei ghali kwa mtanzania mwenzake.
Kama mzigo wote wanafata sehemu moja kwanini gharama ziwe juu.
Tatizo nini? Sera za wawekezaji? Au kuna mikataba ya siri ilisainiwa kuwapa upendeleo wa China?
(Mdau anauliza mtaani)
Ufafanuzi tafadhali yakinifu wataalamu karibuni
Mfano unakuta mtanzania anakuuzia kitu kwa 90,000/= Tsh lakini ukienda kwa mchina anakuuzia 45,000/=Tsh
Kwanini mtanzania asiende kununua kwenye bei chee kwa mchina kuliko kununua bei ghali kwa mtanzania mwenzake.
Kama mzigo wote wanafata sehemu moja kwanini gharama ziwe juu.
Tatizo nini? Sera za wawekezaji? Au kuna mikataba ya siri ilisainiwa kuwapa upendeleo wa China?
(Mdau anauliza mtaani)
Ufafanuzi tafadhali yakinifu wataalamu karibuni