Inakuaje mdada ni flat screen halafu bado unangoja utongozwe?

Inakuaje mdada ni flat screen halafu bado unangoja utongozwe?

Ni akili za kipumbavu sana kufikiri unachopenda wewe na wengine wanakipenda..
Hivi mwanaume mwenye akili timamu anaweza anzisha mada kama hii kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mm binafsi ni mpenzi sana "gari kubwa" ila mtoa mada kanisikitisha sana lugha iliyotumika sio nasi tuna dada zetu shangazi na wengineo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Napenda sana wanawake wa namna hiyo... Ni wazuri sana

""...IF PIANO IS OUT OF TUNE, THE MUSICIAN WILL FAIL, NO MATTER HOW MUCH OF A MUSICIAN HE MAY BE...""
 
Back
Top Bottom