Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani dada nimekusemea wewe au nimesema mawazo yangu. Anzisha mada yako useme mwanaume unaempenda cuma wewe.Ni akili za kipumbavu sana kufikiri unachopenda wewe na wengine wanakipenda..
Hivi mwanaume mwenye akili timamu anaweza anzisha mada kama hii kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa ni wenzetu mkuu, hata sio wa kuwatilia maanani.Ni akili za kipumbavu sana kufikiri unachopenda wewe na wengine wanakipenda..
Hivi mwanaume mwenye akili timamu anaweza anzisha mada kama hii kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na waume za watu wewe cuma. Wewe na mama yako wote flat screen siwataki.Mama yake itakuwa ana msambwandaaa...!! Ila sidhani maana wenye mizigo hawazaagi watoto matairaa kama huyuu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh umeniacha na maswali kwa koment hiiKwani umelazimishwa kututongoza? Una matatizo kweli wewe...wenye mikia wanaokutongoza si wapo sisi tukifanya mambo yetu wewe unawashwa nini? Ovyooo
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mama ako angejua atazaa tahiraa kama wewe...angekutoaa tuu atupe chooni[emoji16]Achana na waume za watu wewe cuma. Wewe na mama yako wote flat screen siwataki.
duuuh binamu...Kwani umelazimishwa kututongoza? Una matatizo kweli wewe...wenye mikia wanaokutongoza si wapo sisi tukifanya mambo yetu wewe unawashwa nini? Ovyooo
Sent using Jamii Forums mobile app
Relax hahaaKwani umelazimishwa kututongoza? Una matatizo kweli wewe...wenye mikia wanaokutongoza si wapo sisi tukifanya mambo yetu wewe unawashwa nini? Ovyooo
Sent using Jamii Forums mobile app
😎😎wewe huyo!!Mada sasa iendelee tuone ulikuwa unataka kusema nini.
Binafsi napenda Gari kubwa kama Crusser, Range Rover, BMW X6, na kidogo Harrier new modern.
Kuwa na Mwanamke Flat najiona kama nipo kwenye Vitz, Corola, na vijigari vidogo vidogo.
Nikiwa na Mwanamke mwenye Chura nipo comfortable sana kama nikiwa ndani ya jumba kubwa yaani bangaloo. Sio kijumba kidogo hata hewa hakina.
Nikiwa na mwanamke mwenye msambwanda najiona natumia Smartphone kama Vile Iphone lakini mwanamke Flat ni kama natumia Nokia Torch.
Mwisho huu ni mtazamo wangu na wala sitaki uwe wa watu wote. Kila mtu na maisha yake
😎😎wewe huyo!!
sawa boss wangu...mzima lknNi mtazamo tuu
sawa boss wangu...mzima lkn
Miss you pia.Me mzima. Mekumiss mtoto Jojo