Atukuzwee
Senior Member
- Aug 6, 2017
- 125
- 239
Aisee kuna hali naipitia nakua tuu sina Raha by outmatically
Mood of sana niko tuu nafanya ibadae nahisi kuna kitu kibaya kinatokea but sijajua ila cha kushangaza jana dogo nae ananiambia anapitia situation kama ya kwangu aisee hili limenishangaza sana.. Mungu atusaidie atuondolee hili balaa yaani tunakua na Hofu kubwa mno
Mood of sana niko tuu nafanya ibadae nahisi kuna kitu kibaya kinatokea but sijajua ila cha kushangaza jana dogo nae ananiambia anapitia situation kama ya kwangu aisee hili limenishangaza sana.. Mungu atusaidie atuondolee hili balaa yaani tunakua na Hofu kubwa mno