Yaan ni Jana tu tayari umeweuka...Aisee kuna hali naipitia nakua tuu sina Raha by outmatically
Mood of sana niko tuu nafanya ibadae nahisi kuna kitu kibaya kinatokea but sijajua ila cha kushangaza jana dogo nae ananiambia anapitia situation kama ya kwangu aisee hili limenishangaza sana.. Mungu atusaidie atuondolee hili balaa
Ili jina hahahahahahahaaa πππNaunga mkono hoja za wachangiaji waliotangulia
Sema huyu akiwahiwa anapona sijui tumpe dokta ganiYaan ni Jana tu tayari umeweuka...
Wewe wakikuwekea nyoka aliyekufa mlango nahisi utajimaliza mazima
Hadi aliyoitoa To yeye ?Naunga mkono hoja za wachangiaji waliotangulia
Lina shida gan mkuuIli jina hahahahahahahaaa πππ
Isipokuwa hiyo ya kuweuka, nyingine zote ni sahihi naziunga mkonoHadi aliyoitoa To yeye ?
Imekaaje wakati habari haieleweki?.