Inakuaje mpaka mwanaume unasuka, kutoboa sikio na kuvaa hereni au kuvaa kipini puani?

Inakuaje mpaka mwanaume unasuka, kutoboa sikio na kuvaa hereni au kuvaa kipini puani?

Zegota

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2020
Posts
341
Reaction score
719
wakuu kwema?

Binafsi niko safarini kuelekea mkoani katika harakati za kutafuta grisi ya kulainisha ugumu wa maisha.

Hii safari yangu imekuwa mbaya sana kuliko safari zote nilizo wahi kusafiri, nimekaa na kijana(mwanaume) mwenzagu the way alivo kama kungekuwa na siti iliyo wazi au ningejua mapema nakaa na mtu wa namna hii ningeweza kubadili mapema seat ya kukaa au gari kabisa.

Jamaa amenyoa nywele za pembeni ambayo mnaziita kiduku style then kasuka Rasta zile za kulala mbaya zaidi sikioni ana hereni na puani ametoboa ameweka kipini kidogo, Huyu jamaa ana mwenzake yuko seat inayofuata naye ana hereni ila yeye hajasuka wala hana kipini.

Kiukweli kukaa naye hapa imekuwa kero sana kwangu, kila nikimuangalia najihisi vibaya sana.

Hivi inakuwaje mwanaume unafikia kiwango hiki? Ni kwamba wanaona dada zao wanafaidi au?

Wazazi mnawaachaje vijana wenu wa kiume mpaka wanafikia kiwango hiki mkiwa mnawaangalia?
 
Wewe unaenda kutafuta gris ya maisha unajua status yake ya uchumi huyo uliyekaa naye? Unajua kuna vitu hua nasema ili kuvifanya inabidi uwe na pesa, yaani leo unatafuta pesa ya kutumia mwakani.

That way unakua hauko occupied na kutafuta gris so utapata muda wa kusukwa, kutoboa sikio n.k.

Now try being broke and go that route.
 
Wewe unaenda kutafuta gris ya maisha unajua status yake ya uchumi huyo uliyekaa naye? Unajua kuna vitu hua nasema ili kuvifanya inabidi uwe na pesa, yaani leo unatafuta pesa ya kutumia mwakani.

That way unakua hauko occupied na kutafuta gris so utapata muda wa kusukwa, kutoboa sikio n.k.

Now try being broke and go that route.
Kwa hiyo chief ukiwa na status nzuri ya maisha kwa kijana ni vema kutoboa sikio na pua ama kusuka misuko ya kike?
 
Wewe unaenda kutafuta gris ya maisha unajua status yake ya uchumi huyo uliyekaa naye? Unajua kuna vitu hua nasema ili kuvifanya inabidi uwe na pesa, yaani leo unatafuta pesa ya kutumia mwakani.

That way unakua hauko occupied na kutafuta gris so utapata muda wa kusukwa, kutoboa sikio n.k.

Now try being broke and go that route.
Wewe janaume unatetea huo upuuzi, au na wewe ni mmoja wapo. Angalia usije kuanza kupumliwa kama dada zako
 
Dah.. mkuu anyway tuishie hapa mzee maana naona uko kwenye hilo group ni vigumu kwenda sawa
Unaweza kuwaza upendavyo kwa kuwa umejificha nyuma ya battani za simu. Ila ukweli ubaki vile vile kwamba ukiwa huna mambo ya kufanya mara nyingi unatumia muda huo kufanya yasiyokuhusu.

Kama una hela nunua jpo gazeti usome kufupisha safari badala ya kupekenyua ambayo huwezi kuyapatia ufumbuzi. Laumu utandawazi kukaribishwa afrika wakati watu hawajaandaliwa kuipokea.
 
Unaweza kuwaza upendavyo kwa kuwa umejificha nyuma ya battani za simu. Ila ukweli ubaki vile vile kwamba ukiwa huna mambo ya kufanya mara nyingi unatumia muda huo kufanya yasiyokuhusu. Kama una hela nunua jpo gazeti usome kufupisha safari badala ya kupekenyua ambayo huwezi kuyapatia ufumbuzi. Laumu utandawazi kukaribishwa afrika wakati watu hawajaandaliwa kuipokea.
Haha aiseee, sawa boss. Ni kweli sina mambo ya kufanya mda huu
 
Wewe unaenda kutafuta gris ya maisha unajua status yake ya uchumi huyo uliyekaa naye? Unajua kuna vitu hua nasema ili kuvifanya inabidi uwe na pesa, yaani leo unatafuta pesa ya kutumia mwakani.

That way unakua hauko occupied na kutafuta gris so utapata muda wa kusukwa, kutoboa sikio n.k.

Now try being broke and go that route.
Mbona kama vile unasapoti mtt wa kiume kuvaliana na dada yake ?![emoji848][emoji848]
 
Back
Top Bottom