Inakuaje mpaka mwanaume unasuka, kutoboa sikio na kuvaa hereni au kuvaa kipini puani?

Inakuaje mpaka mwanaume unasuka, kutoboa sikio na kuvaa hereni au kuvaa kipini puani?

Wewe unaenda kutafuta gris ya maisha unajua status yake ya uchumi huyo uliyekaa naye? Unajua kuna vitu hua nasema ili kuvifanya inabidi uwe na pesa, yaani leo unatafuta pesa ya kutumia mwakani.

That way unakua hauko occupied na kutafuta gris so utapata muda wa kusukwa, kutoboa sikio n.k.

Now try being broke and go that route.
hereni kawaida japo mimi sijatoboa.kusuka kawaida japo mimi sijasuka.
 
wakuu kwema?

Binafsi niko safarini kuelekea mkoani katika harakati za kutafuta grisi ya kulainisha ugumu wa maisha.

Hii safari yangu imekuwa mbaya sana kuliko safari zote nilizo wahi kusafiri, nimekaa na kijana(mwanaume) mwenzagu the way alivo kama kungekuwa na siti iliyo wazi au ningejua mapema nakaa na mtu wa namna hii ningeweza kubadili mapema seat ya kukaa au gari kabisa.

Jamaa amenyoa nywele za pembeni ambayo mnaziita kiduku style then kasuka Rasta zile za kulala mbaya zaidi sikioni ana hereni na puani ametoboa ameweka kipini kidogo, Huyu jamaa ana mwenzake yuko seat inayofuata naye ana hereni ila yeye hajasuka wala hana kipini.

Kiukweli kukaa naye hapa imekuwa kero sana kwangu, kila nikimuangalia najihisi vibaya sana.

Hivi inakuwaje mwanaume unafikia kiwango hiki? Ni kwamba wanaona dada zao wanafaidi au?

Wazazi mnawaachaje vijana wenu wa kiume mpaka wanafikia kiwango hiki mkiwa mnawaangalia?
Wamasai wanaume wanasuka,

Ukikutana na mmasai kasuka,hakuna anayeshangaa,hata Kama kaulamba mkanda nje,na anasime yake hakuna anayeshangaa,akili zetu zimezoea hivyo kwamba mmasai kusuka ni jadi yake,sasa Kama mwanaume mmasai anasuka kwanini wengine wakisuka inakuwa nongwa!!

Ni mitazamo ya akili ilivyozoea,zamani ukitembeamjini umevaa bukta na kandambili kama wazungu,watu watakushangaa na kukuona kituko,ila kwa wazungu,aaaah ni jadi yao!!!
Utamaduni ni dynamic unabadirika kila leo,
 
wakuu kwema?

Binafsi niko safarini kuelekea mkoani katika harakati za kutafuta grisi ya kulainisha ugumu wa maisha.

Hii safari yangu imekuwa mbaya sana kuliko safari zote nilizo wahi kusafiri, nimekaa na kijana(mwanaume) mwenzagu the way alivo kama kungekuwa na siti iliyo wazi au ningejua mapema nakaa na mtu wa namna hii ningeweza kubadili mapema seat ya kukaa au gari kabisa.

Jamaa amenyoa nywele za pembeni ambayo mnaziita kiduku style then kasuka Rasta zile za kulala mbaya zaidi sikioni ana hereni na puani ametoboa ameweka kipini kidogo, Huyu jamaa ana mwenzake yuko seat inayofuata naye ana hereni ila yeye hajasuka wala hana kipini.

Kiukweli kukaa naye hapa imekuwa kero sana kwangu, kila nikimuangalia najihisi vibaya sana.

Hivi inakuwaje mwanaume unafikia kiwango hiki? Ni kwamba wanaona dada zao wanafaidi au?

Wazazi mnawaachaje vijana wenu wa kiume mpaka wanafikia kiwango hiki mkiwa mnawaangalia?
Twende taratibu!

Unadhani kwanini kijana huyo aishi kama wewe unavotaka au jinsi wewe unavoishi?.

Na wapi imesemwa hereni ni ya mwanamke na si mwanaume?
 
Yaan mtu upo na ugumu wa maisha badala ya kuomba ushauri kwa vijana wenzio nini ufanye utoboe ukaona bora uanze kusengenya wengine,

Utatoboa kweli kwa hali hii?
 
Humu kuna mishoga inayotetea ushoga imejazana humu,sibora mvae siketi
 
Vijana wanapotea kabisa
Screenshot_20200809-093051_Opera%20Mini.jpeg
 
Hii ni tafsiri mbaya ya baadhi ya wanaume wanaodhani kuwa ili mwanaume uonekane handsome ni lazima ujipambe kama wanavyofanya wanawake...
 
Yaan mtu upo na ugumu wa maisha badala ya kuomba ushauri kwa vijana wenzio nini ufanye utoboe ukaona bora uanze kusengenya wengine,

Utatoboa kweli kwa hali hii?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wee acha tyuuuh lol
 
Twende taratibu!

Unadhani kwanini kijana huyo aishi kama wewe unavotaka au jinsi wewe unavoishi?.

Na wapi imesemwa hereni ni ya mwanamke na si mwanaume?
Umeulizwa tofauti yko na mkeo au dada yko ni nn ukiwa mtoto wa kiume.
 
Back
Top Bottom