Tajiri wa Magomeni
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 4,274
- 2,935
hereni kawaida japo mimi sijatoboa.kusuka kawaida japo mimi sijasuka.Wewe unaenda kutafuta gris ya maisha unajua status yake ya uchumi huyo uliyekaa naye? Unajua kuna vitu hua nasema ili kuvifanya inabidi uwe na pesa, yaani leo unatafuta pesa ya kutumia mwakani.
That way unakua hauko occupied na kutafuta gris so utapata muda wa kusukwa, kutoboa sikio n.k.
Now try being broke and go that route.
Wamasai wanaume wanasuka,wakuu kwema?
Binafsi niko safarini kuelekea mkoani katika harakati za kutafuta grisi ya kulainisha ugumu wa maisha.
Hii safari yangu imekuwa mbaya sana kuliko safari zote nilizo wahi kusafiri, nimekaa na kijana(mwanaume) mwenzagu the way alivo kama kungekuwa na siti iliyo wazi au ningejua mapema nakaa na mtu wa namna hii ningeweza kubadili mapema seat ya kukaa au gari kabisa.
Jamaa amenyoa nywele za pembeni ambayo mnaziita kiduku style then kasuka Rasta zile za kulala mbaya zaidi sikioni ana hereni na puani ametoboa ameweka kipini kidogo, Huyu jamaa ana mwenzake yuko seat inayofuata naye ana hereni ila yeye hajasuka wala hana kipini.
Kiukweli kukaa naye hapa imekuwa kero sana kwangu, kila nikimuangalia najihisi vibaya sana.
Hivi inakuwaje mwanaume unafikia kiwango hiki? Ni kwamba wanaona dada zao wanafaidi au?
Wazazi mnawaachaje vijana wenu wa kiume mpaka wanafikia kiwango hiki mkiwa mnawaangalia?
Twende taratibu!wakuu kwema?
Binafsi niko safarini kuelekea mkoani katika harakati za kutafuta grisi ya kulainisha ugumu wa maisha.
Hii safari yangu imekuwa mbaya sana kuliko safari zote nilizo wahi kusafiri, nimekaa na kijana(mwanaume) mwenzagu the way alivo kama kungekuwa na siti iliyo wazi au ningejua mapema nakaa na mtu wa namna hii ningeweza kubadili mapema seat ya kukaa au gari kabisa.
Jamaa amenyoa nywele za pembeni ambayo mnaziita kiduku style then kasuka Rasta zile za kulala mbaya zaidi sikioni ana hereni na puani ametoboa ameweka kipini kidogo, Huyu jamaa ana mwenzake yuko seat inayofuata naye ana hereni ila yeye hajasuka wala hana kipini.
Kiukweli kukaa naye hapa imekuwa kero sana kwangu, kila nikimuangalia najihisi vibaya sana.
Hivi inakuwaje mwanaume unafikia kiwango hiki? Ni kwamba wanaona dada zao wanafaidi au?
Wazazi mnawaachaje vijana wenu wa kiume mpaka wanafikia kiwango hiki mkiwa mnawaangalia?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wee acha tyuuuh lolYaan mtu upo na ugumu wa maisha badala ya kuomba ushauri kwa vijana wenzio nini ufanye utoboe ukaona bora uanze kusengenya wengine,
Utatoboa kweli kwa hali hii?
Hahahaaaaa 🤣🤣Mkuu na wewe umetoboa?
Nyie vijana wenzangu mnasikitisha sana, . .... Hivi, unawezaje kujitofautisha wewe na mkeo?
Umeulizwa tofauti yko na mkeo au dada yko ni nn ukiwa mtoto wa kiume.Twende taratibu!
Unadhani kwanini kijana huyo aishi kama wewe unavotaka au jinsi wewe unavoishi?.
Na wapi imesemwa hereni ni ya mwanamke na si mwanaume?