Inakuaje mtumishi wa Serikali unajiona kama Mungu mtu? Hampewi training huko namna ya kuzungumza na wateja??

Mjinga sana wewe, kwani huo mshaara unaolipwa ni pesa za akina nani?

Halafu majitu kama wewe akitokea raisi asiye entertain upuuzi na uzembe anawawajibisha hao public servants mnamchukia na kumuombea kifo..
wewe ndyo STUPID/IMBECILE/IDIOT/having spastic CEREBRAL PALSY, why cant u argue issues in a civilized way? your life predicament hazijasababishwa na mimi au serikali, don't argue issues based on your personal life difficulties (personalizing issues), I think JF members are mature enough to discuss issues in abstract terms.
 
Wewe ni mpumbavu tu haijalishi unatumia maneno gani kuonesha kukasirika kwako, una kinyesi kichwani badala ya ubongo.

Unatetea ujinga na ukosefu wa uadilifu kwa hoja za kishenzi halafu tukuache uendelee kutamba humu jukwaani?

Kwamba mtu akija kupata huduma kwenye ofisi za umma basi akunyenyekee wewe mtoa huduma hata kama huduma zako ni mbovu? Mjinga sana wewe Acha kazi achia wenye waledi na utu ndio wafanye hiyo kazi.
 
Ebu acha zako, mazingira gani hayo yenye changamoto yanayosababisha kila mtu atake kufanya kazi TRA? Usitetee ujinga na mteja mfalme applies to every service. Hata kwa changudoa.
 
😇🤣🤣Si wewe, ni life predicament you are in now, sita-argue na wewe tena, you are free to attack me in any style which pleases you.
 
Ebu acha zako, mazingira gani hayo yenye changamoto yanayosababisha kila mtu atake kufanya kazi TRA? Usitetee ujinga na mteja mfalme applies to every service. Hata kwa changudoa.
😇🤣Okay, I now understand the magnitude of your personal suffering, u can attack me as u wish, to calm down your nerves, you are always welcomed
 
Kuna Watu wa ARDHI, dadeeeeeeeeeeeeki Kwanza ni wala rushwa balaaa na wanajifanya wajuaji, Ndugu zao Watu wa Mipango miji na vile vya Manispaa. Nenda Kinondoni, Temeke, Ilala na Ubungo. UJINGA mtupu, waaaambie sasa unataka kufanya biashara, hakuna rangi utakayoacha kuona.
 
They are. Ndio maana wanaitwa public servants.
Chuki yenu, kwa public servants ni misguided, u treat them as elected officials (politicians) who are supposed to serve the needs and wishes of the people who elected them😇
 
Kwanza hongera kama upo hivi. Sasa kama wewe umeweza kwa nini huyu jamaa asiweze? Strange unamtetea.
😇🤣Okay, I now understand the magnitude of your personal suffering, u can attack me as u wish, to calm down your nerves, you are always welcomed
This is not an attack but airing a different opinion to yours. What you're doing now is a personal attack.
 
Kwanza hongera kama upo hivi. Sasa kama wewe umeweza kwa nini huyu jamaa asiweze? Strange unamtetea.

This is not an attack but airing a different opinion to yours. What you're doing now is a personal attack.
Sijamtetea mtu, posting zangu nilikuwa najibu hoja ya kuwa-bkanketi watumishi wote wa umma kuwa wako horrible na ni sekta zoote, nikasema kwa nini tusiende kwenye isolated specific cases tukazijadili? nimeishia kutukanwa kama kibaka😆
 
Sijamtetea mtu, posting zangu nilikuwa najibu hoja ya kuwa-bkanketi watumishi wote wa umma kuwa wako horrible na ni sekta zoote, nikasema kwa nini tusiende kwenye isolated specific cases tukazijadili? nimeishia kutukanwa kama kibaka😆
Hata mimi sikubaliani na blanket accusations.
 
😇🤣🤣Si wewe, ni life predicament you are in now, sita-argue na wewe tena, you

😇🤣🤣Si wewe, ni life predicament you are in now, sita-argue na wewe tena, you are free to attack me in any style which pleases you.
Wewe ni kinabo tu mpuuzi mmoja hivi uko hapa unatetea uzembe na ukosefu wa uadilifu wa mfanyakazi mwenzio.

Watu mliopata ajira serikalini kwa kupigiwa pande na shemeji sijui mme wa Shangazi huwa mna matatizo sana na hamnaga waled.
 
Watu wa ardhi walioko pale almashauri ya wilaya ya ilemela hasa yule dada Grace nina mpango wa kwenda kuwaroga nikishindwa kuwaroga nita hire hitmen kutoka Vietnam kwa ajiri yao.
 
Kwanza hongera kama upo hivi. Sasa kama wewe umeweza kwa nini huyu jamaa asiweze? Strange unamtetea.

This is not an attack but airing a different opinion to yours. What you're doing now is a personal attack.
You're welcomed always, for public service improvement discussion
 
Wewe ni kinabo tu mpuuzi mmoja hivi uko hapa unatetea uzembe na ukosefu wa uadilifu wa mfanyakazi mwenzio.

Watu mliopata ajira serikalini kwa kupigiwa pande na shemeji sijui mme wa Shangazi huwa mna matatizo sana na hamnaga waled.
😇😆niliingia public service by merit (voluntary employment post- graduation) no job advert, no interview, I am in a third decade now, sijawahi kuharibu, Kuna walioharibu na hawapo kazini tena (they were summarily dismissed)
 
Same pia, Nilikua na issue flani Dumila & Kilosa, Nikamkuta jamaa flani, Alinihudumia fresh mpaka nika maliza issue zangu.

So Customer care its more of a person japokua mfumo wa serikali unashindwa kuwatoa hao majoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…