Inakuaje watu huwa wapo tayari kuchangia harusi na Msiba ila sio pale mgonjwa anapoumwa

Inakuaje watu huwa wapo tayari kuchangia harusi na Msiba ila sio pale mgonjwa anapoumwa

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Ndoa na kuoa ni jambo zuri na la heshima na MTU kupata mazishi ya heshima pia ni jambo zuri .

Ila huwa nafatilia vifo vingi hasa katika familia masikini vinatokana na ukosefu wa fedha za matibabu.

Kuna wakati familia inamchangia MTU harusi au sherehe ambayo inaweza Ku-cost hela nyingi lakini MTU huyo huyo aliyechangiwa pesa au fedha kwa ajili ya harusi yake siku akiumwa anaachwa na Ana we za kupoteza maisha Kwa kukosa pesa ndogo tu.

Jamii zetu zinabidi pia kujifunza utamaduni wa kujitoa Kwa MTU Kwa njia chanya in positive way hii itasaidia sana .

Kuna jambo limetokea leo nimelitafakari kuanzia katika tukio la kariakoo na katika jamii zetu kwamba hizi social events ni muhimu kuliko uhai wa MTU .?

Huu utamaduni sio mzuri ni bora MTU umpambanie hadi mwisho kuliko kurushiana mpira.

Unapanda bus kutoka Dar to Bukoba nauili ni 100K ili ukamzike mgonjwa ambaye amekufa Kwa kukosa matibabu ya 35K

Naamini katika Mipango ya Mungu Ila pia Mimi ni muumini wa kujitoa mpaka mwisho.

"We need to change our mind set "
 
Kuna kijana alikufa Kwa kukosa laki tatu tu,laki tatu tu Ili atibiwr pale Amana..
Cha kushangaza alifia nyumbani kwake akiwa Hana hata Hela ya mlo akazidiwa kufika hospital akafa.msiba wake ndani ya mda mchache uliweza kukamilisha bajeti ya mil zaidi ya mbili.

Kuna wakati huwa nawaza sana ila niseme ni moyo wa mtu tu.unaweza ukajitoa sana Kwa mwingine ila utashanga ikifika zamu yako wanavyokupotezea
 
Haya yanatokea kwa wenye imani dhaifu sana
Unachangia maiti badala ya kumsaidia akiwa hai
Kweli wanaotoa na kuchangia sio wote ndugu ila kama mtu wako wa karibu ni lazima uwe nae kwa hali na mali pindi anapopata masaibu yoyote

Msiwe watu wa mkumbo ukisikia Shangazi anaumwa nenda kamuone au tuma hela akatibiwe hata kama za tiba anazo kumbuka anahiji vingi kama hawana uwezo

Kama una uwezo kidogo saidia unachoweza usiwe mtu wa kusubiri maafa au harusi ndio utoe

Kila wakati natoa kwa wanaohitaji na pia kwenda kuona wagonjwa mara kwa mara pindi ninaposikia fulani mgonjwa na huo ndio ubinadamu

Kweli ukienda kumuona mgonjwa huwa wanajisikia faraja sana na hata kupata nguvu ya kuamka kitandani niamini kwa hilo

Hata kama huna kitu cha kumpa, nenda kamfariji tu usisubiri ya kutokea kwani unaweza kufa wewe kabla yake tena ghafla
 
Dunia ya sasa watu wamekuwa wabinafisi ,huwa wanafanya kitu ambacho watanufaika nacho moja kwa moja.
Mtu anapo changa harusi ana jua kuwa atakula ,atakunywa,atacheza mziki, sasa ukimuchangia mgonjwa haunufaiki moja kwa moja.
 
Ndoa na kuoa ni jambo zuri na la heshima na MTU kupata mazishi ya heshima pia ni jambo zuri .

Ila huwa nafatilia vifo vingi hasa katika familia masikini vinatokana na ukosefu wa fedha za matibabu.

Kuna wakati familia inamchangia MTU harusi au sherehe ambayo inaweza Ku-cost hela nyingi lakini MTU huyo huyo aliyechangiwa pesa au fedha kwa ajili ya harusi yake siku akiumwa anaachwa na Ana we za kupoteza maisha Kwa kukosa pesa ndogo tu.

Jamii zetu zinabidi pia kujifunza utamaduni wa kujitoa Kwa MTU Kwa njia chanya in positive way hii itasaidia sana .

Kuna jambo limetokea leo nimelitafakari kuanzia katika tukio la kariakoo na katika jamii zetu kwamba hizi social events ni muhimu kuliko uhai wa MTU .?

Huu utamaduni sio mzuri ni bora MTU umpambanie hadi mwisho kuliko kurushiana mpira.

Unapanda bus kutoka Dar to Bukoba nauili ni 100K ili ukamzike mgonjwa ambaye amekufa Kwa kukosa matibabu ya 35K

Naamini katika Mipango ya Mungu Ila pia Mimi ni muumini wa kujitoa mpaka mwisho.

"We need to change our mind set "

Kwani madaktari mnalipwa shilingi ngapi kwa kila mgonjwa nje ya mishahara yenu?
 
Ur not worth until you pass away
Ndoa na kuoa ni jambo zuri na la heshima na MTU kupata mazishi ya heshima pia ni jambo zuri .

Ila huwa nafatilia vifo vingi hasa katika familia masikini vinatokana na ukosefu wa fedha za matibabu.

Kuna wakati familia inamchangia MTU harusi au sherehe ambayo inaweza Ku-cost hela nyingi lakini MTU huyo huyo aliyechangiwa pesa au fedha kwa ajili ya harusi yake siku akiumwa anaachwa na Ana we za kupoteza maisha Kwa kukosa pesa ndogo tu.

Jamii zetu zinabidi pia kujifunza utamaduni wa kujitoa Kwa MTU Kwa njia chanya in positive way hii itasaidia sana .

Kuna jambo limetokea leo nimelitafakari kuanzia katika tukio la kariakoo na katika jamii zetu kwamba hizi social events ni muhimu kuliko uhai wa MTU .?

Huu utamaduni sio mzuri ni bora MTU umpambanie hadi mwisho kuliko kurushiana mpira.

Unapanda bus kutoka Dar to Bukoba nauili ni 100K ili ukamzike mgonjwa ambaye amekufa Kwa kukosa matibabu ya 35K

Naamini katika Mipango ya Mungu Ila pia Mimi ni muumini wa kujitoa mpaka mwisho.

"We need to change our mind set "
 
Ndoa na kuoa ni jambo zuri na la heshima na MTU kupata mazishi ya heshima pia ni jambo zuri .

Ila huwa nafatilia vifo vingi hasa katika familia masikini vinatokana na ukosefu wa fedha za matibabu.

Kuna wakati familia inamchangia MTU harusi au sherehe ambayo inaweza Ku-cost hela nyingi lakini MTU huyo huyo aliyechangiwa pesa au fedha kwa ajili ya harusi yake siku akiumwa anaachwa na Ana we za kupoteza maisha Kwa kukosa pesa ndogo tu.

Jamii zetu zinabidi pia kujifunza utamaduni wa kujitoa Kwa MTU Kwa njia chanya in positive way hii itasaidia sana .

Kuna jambo limetokea leo nimelitafakari kuanzia katika tukio la kariakoo na katika jamii zetu kwamba hizi social events ni muhimu kuliko uhai wa MTU .?

Huu utamaduni sio mzuri ni bora MTU umpambanie hadi mwisho kuliko kurushiana mpira.

Unapanda bus kutoka Dar to Bukoba nauili ni 100K ili ukamzike mgonjwa ambaye amekufa Kwa kukosa matibabu ya 35K

Naamini katika Mipango ya Mungu Ila pia Mimi ni muumini wa kujitoa mpaka mwisho.

"We need to change our mind set "
Mbona hata wagonjwa huwa wanachangiwa ni wapi huko mgonjwa hachangiwi sema wengi huwa wanaficha aibu wasionekane masikini na kufa kishujaa
 
Ndoa na kuoa ni jambo zuri na la heshima na MTU kupata mazishi ya heshima pia ni jambo zuri .

Ila huwa nafatilia vifo vingi hasa katika familia masikini vinatokana na ukosefu wa fedha za matibabu.

Kuna wakati familia inamchangia MTU harusi au sherehe ambayo inaweza Ku-cost hela nyingi lakini MTU huyo huyo aliyechangiwa pesa au fedha kwa ajili ya harusi yake siku akiumwa anaachwa na Ana we za kupoteza maisha Kwa kukosa pesa ndogo tu.

Jamii zetu zinabidi pia kujifunza utamaduni wa kujitoa Kwa MTU Kwa njia chanya in positive way hii itasaidia sana .

Kuna jambo limetokea leo nimelitafakari kuanzia katika tukio la kariakoo na katika jamii zetu kwamba hizi social events ni muhimu kuliko uhai wa MTU .?

Huu utamaduni sio mzuri ni bora MTU umpambanie hadi mwisho kuliko kurushiana mpira.

Unapanda bus kutoka Dar to Bukoba nauili ni 100K ili ukamzike mgonjwa ambaye amekufa Kwa kukosa matibabu ya 35K

Naamini katika Mipango ya Mungu Ila pia Mimi ni muumini wa kujitoa mpaka mwisho.

"We need to change our mind set "
Hii tabia ni fikirishi sana. Mgonjwa kuachwa afe halafu unatoa maelfu kwenye mazishi na harusi! Au labda sababu kuna kula na kunywa msibani na harusini ila hospital hupewi chakula. Labda, sijui.
 
Back
Top Bottom