Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasikitisha sanatanzania na watu wake wamekata tamaa ya maisha ndio maana wana vikundi vingi vya kufa na kuzikana hawajawai kuwaza kuanzisha vikundi vya kusaidiana kimaendeleo
Mleta mada me naomba niongezee hapo tu sio ugonjwa tu hata Ada unakuta mtu kakosa mkopo wa chuo tena course ya udaktari na wanaukoo wanajua ila wanajikausha.
😀😀Wabongo mmezidi michango, kila kitu mchango
Mimi nimefukuzwa magrupu kibao kwa kuamua kujikausha
Hivi kweli utamaduni huu wawezakuwa umetoka wapi?Dunia ya sasa watu wamekuwa wabinafisi ,huwa wanafanya kitu ambacho watanufaika nacho moja kwa moja.
Mtu anapo changa harusi ana jua kuwa atakula ,atakunywa,atacheza mziki, sasa ukimuchangia mgonjwa haunufaiki moja kwa moja.
Hilo nalo neno, mtu akiwa vizuri hakumbuki chochote hata kujiwekeza hakuna ni kula tu bata, ila siku aliumwa anatafuta wale aliokuwa anawapuuzia wamsaidie uliona wapi hayo.Na mkiwa wazima muwe mnasalimia ndugu,jamaa na marafiki.
Kuna mtu akiugua ndiyo anakumbuka kuwa ana ndugu X
Ubinadamu kazi sana.