S Showmax JF-Expert Member Joined Nov 18, 2022 Posts 6,592 Reaction score 12,707 Apr 29, 2023 #21 rubii said: Kwetu ni kuliwa pesa tu Akuue pesa yako ataipataje?? Click to expand... Kafara la kupanda daraja la Moshi je umesahau
rubii said: Kwetu ni kuliwa pesa tu Akuue pesa yako ataipataje?? Click to expand... Kafara la kupanda daraja la Moshi je umesahau
S Showmax JF-Expert Member Joined Nov 18, 2022 Posts 6,592 Reaction score 12,707 Apr 29, 2023 #22 Hao wametoa kafara Ili wapande daraja, ezekiel yupo kwenye list ya manabii wa uongo kwa East Africa.
S Showmax JF-Expert Member Joined Nov 18, 2022 Posts 6,592 Reaction score 12,707 Apr 29, 2023 #23 Chochote nje ya maandiko ni feki
Lewis254 JF-Expert Member Joined Apr 3, 2017 Posts 7,729 Reaction score 3,569 Apr 29, 2023 #24 Accumen Mo said: Kuna wakenya na wanaijeria then south africa huko ndo kuna vituko kabisa😂😂 Click to expand... na ndio the giants of Africa. huko ndio pesa zilipo. sasa hizo nchi zilizobaki, ni kitu gani cha maana unachoweza kuwapora wananchi wake?
Accumen Mo said: Kuna wakenya na wanaijeria then south africa huko ndo kuna vituko kabisa😂😂 Click to expand... na ndio the giants of Africa. huko ndio pesa zilipo. sasa hizo nchi zilizobaki, ni kitu gani cha maana unachoweza kuwapora wananchi wake?
Accumen Mo JF-Expert Member Joined May 15, 2022 Posts 18,036 Reaction score 39,882 Apr 29, 2023 #25 Lewis254 said: na ndio the giants of Africa. huko ndio pesa zilipo. sasa hizo nchi zilizobaki, ni kitu gani cha maana unachoweza kuwapora wananchi wake? Click to expand... Attachments Screenshot_20230429-200641.png 248.8 KB · Views: 4
Lewis254 said: na ndio the giants of Africa. huko ndio pesa zilipo. sasa hizo nchi zilizobaki, ni kitu gani cha maana unachoweza kuwapora wananchi wake? Click to expand...
N Naland JF-Expert Member Joined Dec 8, 2021 Posts 716 Reaction score 1,260 Apr 29, 2023 #26 Kwenye masuala ya imani hakuna kufikiri