Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
Mzee DC unafikiri kuna mtu anapenda kuoa au kuolewa na mtu ambae hafai? Hivi unafikiri walio oa/kuolewa na wanasumbuliwa na wenza wao hizo tabia zilionekana wakati wa uchumba? wanandoa wengi wanajuana tabia kwa undani baada ya kuoana na kuishi pamoja na hapo inakua too late.
Na kama umebahatika kupata mke ambae hana vimbwenga ila tu madhaifu ya kibinadamu mshukuru tu Mungu kwa kukuongoza na usije chukulia for granted kua hata ukiachana na huyo basi utampata mwingine ambae pia atakua hana vimbwenga.
Thank you for this useful postMzee DC unafikiri kuna mtu anapenda kuoa au kuolewa na mtu ambae hafai? Hivi unafikiri walio oa/kuolewa na wanasumbuliwa na wenza wao hizo tabia zilionekana wakati wa uchumba? wanandoa wengi wanajuana tabia kwa undani baada ya kuoana na kuishi pamoja na hapo inakua too late.
Na kama umebahatika kupata mke ambae hana vimbwenga ila tu madhaifu ya kibinadamu mshukuru tu Mungu kwa kukuongoza na usije chukulia for granted kua hata ukiachana na huyo basi utampata mwingine ambae pia atakua hana vimbwenga.
PHP:Hivi inakuaje mwanamke anaondoka nyumbani kwake anamuaga mume wake ambae ni mzuri as in hamnyanyasi na anajitahidi siku zote kumfanyia mke yaliyo mema..alafu anaenda kukutana na kimada wake ambae nae ni mume wa mtu ambae nae mke wake anajitahidi kumfanyia yaliyo mema?Yani wote wanavunja ahadi zao kwanza kwa kutoka nje ya ndoa zao alafu wanafikia kutamani mpaka kutembea na mume/mke wa mwingine!Watu hawa ambao kuna watu wanawaangalia kama 'rolemodels' kwenye maswala ya maisha tuwachukulieje?
humans were born to err.....................[/QUOTE]
Me like..
Thank you for this useful post