Inakuhusu sana uwe kwenye ndoa au unaelekea, soma

Inakuhusu sana uwe kwenye ndoa au unaelekea, soma

wasanii wa bongo got to come out with these kind of stories ktk muvz zao...muvz sio kuigiza tu kwenye mijengo mikali au kumualika Omotola kuja kushuhudia uzinduzi
 
Nimejikuta chozi likinidondoka,somo zuri kwa wana ndoa na wanaotarajia kuingia kweanye ndoa
 
Kumbe mambo ya ndoa ni magumu sana kama huzingatii lakin ni kinyume kama unazingatia.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
dah japo si mwanandoa imenigusa sana , but many marriage problems exist because of lack of friendship btn the two .dah
 
I can't believe na uanamume wangu nafight na machozi hapa., what a sad story.
I promise I'll be carrying my wife all days of our marriage life, but under one condition, she shouldn't get fat:sad:
 
nitampenda hubby wangu milele na milele! i have learned something here! GOD bless u, iliyeleta hii story!
 
oooh kweli inauma,lakini wanaume wengne mjifunze kupitia hii story,mmmh nazidi kuogopa maisha ya ndoa,wat can i do?mungu nipe nguvu!

hahaha umenipa sifa isikuwa yangu.sikulaumu najua haukutambua.mimi shost wako
 
Well, Its still a copy n paste...halafu ujaribu kukopia mbali basi si page ya kwanza ya google we unabeba (at least page ya 100)
 
uu ujumbe mkali sana asante sana mkuu
 
Kiukweli ni somo tosha kwetu nashukuru uliyeleta hii story hapa maana unatufundisha na ss tunaoelekea huko kwenye ndoa mungu akubariki na amkumbushe kila mwanandoa kiapo chake cha kanisani au msikitini ..........................nc
 
Ni somo tosho ili utakapoingia kwenye ndoa yakitokea ujue jinsi ya kukabiliana nayo
Jamani mm bado sijaolewa, ila hii Thread imenifanya nilie sana, ki ukweli imeniumiza sana, Asante kwa somo.
 
Back
Top Bottom