Inakuhusu?..Tafadhari Husika!

Inakuhusu?..Tafadhari Husika!

Majigo

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
5,519
Reaction score
1,828
Nikiwa Kama Kijana
Ninayejiandaa Na Maisha Ktk Ujasiriamali,Mtaji Wangu Ni Laki Mbili.
Kwa Pesa Hzo Niko Njia
Panda,Kipi Chenye Soko Kubwa Kati Ya:

-Ninafikiria Kununua Digital
Kamera Ili Niwe Mpiga Picha Mitaani
-Nifungue Banda La Kuonesha Mpira(video Ninavyo)
Tafadhari Wakuu.
Ushauri Wako Tu,Ni Mkombozi Tosha kwangu (niko DAR),Nawasilisha Kwa Kutanguliza Shukrani na Salam !
 
Back
Top Bottom