incredible thinker
Member
- Apr 17, 2013
- 38
- 2
wana Jamii forum;
hivi unaweza kunisaidia vyema kwa unaejua hii.
Hivi mtu akiwa na diploma ya LABORATORY TECHNICIAN analipwa mshahara kiasi gani serikalini;
pia na mtu mwenye BACHELOR IN LAB TECHNICIAN analipwa mshahara kiasi gani serikalini..
Nawaombeni sana wana Jamii forum mnisaidie kuusu hili please.
hivi unaweza kunisaidia vyema kwa unaejua hii.
Hivi mtu akiwa na diploma ya LABORATORY TECHNICIAN analipwa mshahara kiasi gani serikalini;
pia na mtu mwenye BACHELOR IN LAB TECHNICIAN analipwa mshahara kiasi gani serikalini..
Nawaombeni sana wana Jamii forum mnisaidie kuusu hili please.