wana Jamii forum;
hivi unaweza kunisaidia vyema kwa unaejua hii.
Hivi mtu akiwa na diploma ya LABORATORY TECHNICIAN analipwa mshahara kiasi gani serikalini;
pia na mtu mwenye BACHELOR IN LAB TECHNICIAN analipwa mshahara kiasi gani serikalini..
Nawaombeni sana wana Jamii forum mnisaidie kuusu hili please.