inakusu hii mwana JF.jibu apate funzo!

Joined
Apr 17, 2013
Posts
38
Reaction score
2
wana Jamii forum;
hivi unaweza kunisaidia vyema kwa unaejua hii.
Hivi mtu akiwa na diploma ya LABORATORY TECHNICIAN analipwa mshahara kiasi gani serikalini;
pia na mtu mwenye BACHELOR IN LAB TECHNICIAN analipwa mshahara kiasi gani serikalini..
Nawaombeni sana wana Jamii forum mnisaidie kuusu hili please.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…