Nilisha simuliwa story hizi nyingi za mwanamke kumwacha ampendaye kisa kampata mwengine mwenye hela.
Nina wanangu wa wawili wote mainjinia, mmoja nilijuana naye Mchikichini kwenye mapindi, mwengine tulijuana kwenye projects moja ambayo ilikuwa tempo ya kama mwaka mmoja.
Huyu mwana niliyejuana naye kwenye mapindi Mchikichini, yy demu wake alianza naye tolea Secondary, mwana yupo A-Level na dem O level (kampita madarasa matatu).
Bahati nzuri mwana alivyo maliza chuo akapata kazi na demu naye akaingia chuo UD,mwana alikuwa anamsapoti demu zile hela za matumizi chuo.
Hee kumbe kule alipokuwa akifanya field kwa miaka miwili, akaanza mahusiano na jamaa mwengine ambaye yupo vizuri kiuchumi.
Demu anamaliza chuo, akatafutiwa kazi na yule jamaa mwana hajui, sasa nakumbuka kama sikosei 2016 au 15 mwana akatuambia mimi mwaka huu nataka kuoa, tukamwambia poa oa tutakupiga tafu, baada miezi mitatu demu katolewa mahali na kapewa mkoko wa kumtembelea, mwana anaambiwa na yule demu alichoka baada kama miezi 5 demu akaolewa.
Daah mwana alipungua hana raha mwaka mzima siku zikaenda kama baada ya mwaka na nusu baada ya ndoa,yule demu karudi kwa mwana eti wawe wapenzi kisirisiri mme wake asijue, mwamba kampiga stop kwamba asimsumbue still demu mpaka sasa bado anamsumbua mwana na mwana hana time nae.
Huyu pili yy demu walikuwa wana miaka miwili, demu alimaliza chuo ila hakuwa na issue mwamba alikuwa anapata projects hizi za miezi sita,mitatu, mwaka.
Nakumbuka 2017 kuna project tulipiga wote by mwezi wa 10 ,projects ikaisha tukaambiwa kuna nyingine ina sites kama 1600,ila Bahati mbaya ile tenda hawa kuipata.
Nakumbuka sasa 2018,mwana akawa anapitia msoto yule demu 2018 kapata kazi akawa anamletea dharau mwana, akitoka ofisini anarudishwa na mkoko mpaka home, baadae akaamua kumchana waachane kwani kapata mwengine.
Daah mwana alichoka sana kwanza stress za kuwa hana kazi pili za kuachwa na demu
Mwamba nae 2019 February anapata kazi mshahara 2.3m,mwana kidogo sasa yupo vizuri.Baada ya miezi kama 5 ya mwana kuanza kazi ,demu anarudi naye anamwomba mwana wawe wapenzi kisirisiri, daah kwanza mwana alimtukana,akampiga biti hasithubutu kumtafuta wala kumtafuta kwenye simu kwani ana mahusiano mapya.
Na hawa mabinti wote waume zao ni wana hela ndefu, kuliko hawa mwanangu kwani yule kwanza anakunja 1.9m na wa pili 2.3m ila leo kesho wanawasumbua wana.
Sasa na jiuliza inakuwaje unamwacha mtu unayempenda kwa dhati kisa fedha then kesho unaomba urudiane nae hivi huwa mnafikiria nini.
Nina wanangu wa wawili wote mainjinia, mmoja nilijuana naye Mchikichini kwenye mapindi, mwengine tulijuana kwenye projects moja ambayo ilikuwa tempo ya kama mwaka mmoja.
Huyu mwana niliyejuana naye kwenye mapindi Mchikichini, yy demu wake alianza naye tolea Secondary, mwana yupo A-Level na dem O level (kampita madarasa matatu).
Bahati nzuri mwana alivyo maliza chuo akapata kazi na demu naye akaingia chuo UD,mwana alikuwa anamsapoti demu zile hela za matumizi chuo.
Hee kumbe kule alipokuwa akifanya field kwa miaka miwili, akaanza mahusiano na jamaa mwengine ambaye yupo vizuri kiuchumi.
Demu anamaliza chuo, akatafutiwa kazi na yule jamaa mwana hajui, sasa nakumbuka kama sikosei 2016 au 15 mwana akatuambia mimi mwaka huu nataka kuoa, tukamwambia poa oa tutakupiga tafu, baada miezi mitatu demu katolewa mahali na kapewa mkoko wa kumtembelea, mwana anaambiwa na yule demu alichoka baada kama miezi 5 demu akaolewa.
Daah mwana alipungua hana raha mwaka mzima siku zikaenda kama baada ya mwaka na nusu baada ya ndoa,yule demu karudi kwa mwana eti wawe wapenzi kisirisiri mme wake asijue, mwamba kampiga stop kwamba asimsumbue still demu mpaka sasa bado anamsumbua mwana na mwana hana time nae.
Huyu pili yy demu walikuwa wana miaka miwili, demu alimaliza chuo ila hakuwa na issue mwamba alikuwa anapata projects hizi za miezi sita,mitatu, mwaka.
Nakumbuka 2017 kuna project tulipiga wote by mwezi wa 10 ,projects ikaisha tukaambiwa kuna nyingine ina sites kama 1600,ila Bahati mbaya ile tenda hawa kuipata.
Nakumbuka sasa 2018,mwana akawa anapitia msoto yule demu 2018 kapata kazi akawa anamletea dharau mwana, akitoka ofisini anarudishwa na mkoko mpaka home, baadae akaamua kumchana waachane kwani kapata mwengine.
Daah mwana alichoka sana kwanza stress za kuwa hana kazi pili za kuachwa na demu
Mwamba nae 2019 February anapata kazi mshahara 2.3m,mwana kidogo sasa yupo vizuri.Baada ya miezi kama 5 ya mwana kuanza kazi ,demu anarudi naye anamwomba mwana wawe wapenzi kisirisiri, daah kwanza mwana alimtukana,akampiga biti hasithubutu kumtafuta wala kumtafuta kwenye simu kwani ana mahusiano mapya.
Na hawa mabinti wote waume zao ni wana hela ndefu, kuliko hawa mwanangu kwani yule kwanza anakunja 1.9m na wa pili 2.3m ila leo kesho wanawasumbua wana.
Sasa na jiuliza inakuwaje unamwacha mtu unayempenda kwa dhati kisa fedha then kesho unaomba urudiane nae hivi huwa mnafikiria nini.