Inakuwaje binadamu ndio mweye akili lakini analipia gharama kuishi?

Inakuwaje binadamu ndio mweye akili lakini analipia gharama kuishi?

Kulipia huduma ni matakwa ya mtu binafsi,hakuna aliyemlazimisha mtu kulipia

1.Ukitaka usilipie Nyumba nenda porini fyatua tofali Jenga yako uishi Bure

2.Ukitaka usilipie umeme,Jitengenezee umeme au Jitengenezee Koroboi/Kibatari weka mafuta ya zeituni iwake uendelee na maisha

3.Ukitaka usilipie Maji nenda hapo kwako chimba kisima Kwa kutumia sululu na jembe ili uji mwayemwaye

4.Ukitaka usilipie usafiri tembea Kwa miguu au Tafuta punda ufuge,wengine uwafanye kama usafiri

5.Ukitaka usinunue Chakula,nenda porini fyeka vichaka lima mashamba yakupatie nafaka na mboga mboga

6.Ukitaka usinunue nguo,tengeneza shamba panda pamba na ujitengeneze nguo zako!


Ukifanya hayo hizo gharama zisizo za lazima utaziepuka!
Mapori hayahaya ya serikali?
 
Kila mnyama anafanya kazi kwa bidii na kutumia akili ili aishi. Kwa mfano simba hunyatia windo lake kwa akili kubwa na kisha kulifukuza hadi kulikamata.

Binadamu pia ni karibu hivyo hivyo.

Tofauti tu ni kwamba:
a) binadamu wanagawana majukumu zaidi kuliko wanyama wengine, hivyo kulazimika zaidi kubadilishana mazao ya juhudi zao na
b) binadamu walianzisha pesa kusaidia ubadilishanaji wa mazao ya juhudi/akili zao.

Jumuisho - Sisi binadamu na wanyama wote tunahenya ili tuishi.
 
Ukweli ni kwamba binadamu was not designed for foraging kabisa kabisa.

Hata ukiangalia muundo wa miili yetu ni milaini na Haina nguvu. Haikuumbwa hii miili ijitafutie bali Lengo lilikuwa tukae tulishwe kama mana jangwani vile sema ndio Adam na Eva wakazingua.

Angalia wanyama wengine wana kucha Kali, ngozi nzito, meno makali na macho yanaona mpaka kwenye Giza plus mbio za maana.
so sisi ni midebwedo au sio...!🤣
sometimes huwa nafikiri nature imemleta binadamu as an end product of life!, i mean pale nature inapokuwa mazingira yake yapo comfortable kwa kiwango kikubwa ndo inaleta viumbe hai sasa na mwisho wa yote ni human being hiyo ni kuonyesha ukomavu wa nature ktk sehemu husika!.. hii ni theory yangu tu msijekusema bangi..🤣
 
Back
Top Bottom