Inakuwaje binadamu ndio mweye akili lakini analipia gharama kuishi?

Mapori hayahaya ya serikali?
 
Kila mnyama anafanya kazi kwa bidii na kutumia akili ili aishi. Kwa mfano simba hunyatia windo lake kwa akili kubwa na kisha kulifukuza hadi kulikamata.

Binadamu pia ni karibu hivyo hivyo.

Tofauti tu ni kwamba:
a) binadamu wanagawana majukumu zaidi kuliko wanyama wengine, hivyo kulazimika zaidi kubadilishana mazao ya juhudi zao na
b) binadamu walianzisha pesa kusaidia ubadilishanaji wa mazao ya juhudi/akili zao.

Jumuisho - Sisi binadamu na wanyama wote tunahenya ili tuishi.
 
so sisi ni midebwedo au sio...!🀣
sometimes huwa nafikiri nature imemleta binadamu as an end product of life!, i mean pale nature inapokuwa mazingira yake yapo comfortable kwa kiwango kikubwa ndo inaleta viumbe hai sasa na mwisho wa yote ni human being hiyo ni kuonyesha ukomavu wa nature ktk sehemu husika!.. hii ni theory yangu tu msijekusema bangi..🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…