Kulipia huduma ni matakwa ya mtu binafsi,hakuna aliyemlazimisha mtu kulipia
1.Ukitaka usilipie Nyumba nenda porini fyatua tofali Jenga yako uishi Bure
2.Ukitaka usilipie umeme,Jitengenezee umeme au Jitengenezee Koroboi/Kibatari weka mafuta ya zeituni iwake uendelee na maisha
3.Ukitaka usilipie Maji nenda hapo kwako chimba kisima Kwa kutumia sululu na jembe ili uji mwayemwaye
4.Ukitaka usilipie usafiri tembea Kwa miguu au Tafuta punda ufuge,wengine uwafanye kama usafiri
5.Ukitaka usinunue Chakula,nenda porini fyeka vichaka lima mashamba yakupatie nafaka na mboga mboga
6.Ukitaka usinunue nguo,tengeneza shamba panda pamba na ujitengeneze nguo zako!
Ukifanya hayo hizo gharama zisizo za lazima utaziepuka!